Diamond platinumz ndo Instagram ya Tanzania

Hata PEPSI hunywi!? Hah ha haaaa haa!!

Inawezekana usinywe lakini ndie mwanabongofleva pekee utakayekutana na Billboard zake zaidi barabarani!!!
Pepsi?inahusiana vipi na mada?ama wanaoongelewa hapo kuna mmiliki wa pepsi unifahamishe

Umeandika as if mimi ni hater wa hao watu,punguza ukurupukaji wa kijinga...kutofatilia habari za mtu haimaanishi mtu ana chuki nae
 
Ukienda kanisani na misikitini nan ana ongelewa[emoji1013]
 
mimi huwa naingia instagram kuangalia page za michezo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…