Diamond platinumz ni mfalme halisi wa kupewa na sio wakujiita Kama naniliu

Diamond platinumz ni mfalme halisi wa kupewa na sio wakujiita Kama naniliu

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
✓Hii ni kutokana na taarifa za kutoka chanzo Cha habari kikubwa nchini marekani(USTOLD) kumtaja diamond platinumz Kama miongoni mwa nguli wa muziki wanaotarajiwa kushiriki kwenye wimbo na album ya Beyonce.

✓pia kutokana na hii iimedhihirisha ndo msanii wa MZIKI hatali kuwai kutokea Tangu mziki wa kizazi kipya kuexist kwa consecutive 10 years(1decade) bila kushuka sawa
N. B:the matter of facts and not propaganda.

-Kigom@

diamond_tweets_20200816_10.jpg
 
Sio kwamba anatarajiwa kuwa kwenye album ya Beyonce Ila heading hapo unamaanisha hivi...
"Umependa 'black is king' ya Beyonce? Hii hapa Ni list ya wasanii wa Africa ambao hupaswi kuwakosa kwenye playlist yako".
Ok karibu tena
 
Hivi ile gari yake kaliiiiii ishawasili hapa bongo? Na vp alishajenga ghorofa lake kule mbezi beach, na ile HOTEL YAKE ISHAANZA KUPIGA HELA...?
 
Hivi ile gari yake kaliiiiii ishawasili hapa bongo? Na vp alishajenga ghorofa lake kule mbezi beach, na ile HOTEL YAKE ISHAANZA KUPIGA HELA...?

Vipi wewe kwanza mambo yako yote uliyopanga unayotamani uliyoyaota ushayatimiliza teari
 
Back
Top Bottom