Diamond platinumz ni THE G. O. A. T

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
nikutokana na mapokezi yake makubwa kigoma, ambapo alikiba mzee awezi fikia.

Maana alikiba wameudhuria watu hata 100 hawajafika, huku diamond walikuwa zaidi ya 10000,na kuandika historia kubwa.

Kwahiyi Kama wanajamvi kwenye jukwaa la celebrities tumeamua kwa moyo mmoja kumpitisha DIAMOND kuwa the GOAT.

Sina timu ila ni fan wa mziki mzuri,na atkae ongea fyongo anakula block na ban juu.

Povu kafukie sabuni
 
Diamond mapokezi nyomi hatari(DIAMOND THE GOAT)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…