Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Naweka soonWeka picha tulinganishe mate
Diamond hivi akimla dada yako pande zote square alafu akamtelekeza..? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Inauma ila itabidi uzoeeHivi Alikiba alimla dada yako pande zote alafu akamtelekeza?
Fact DIAMOND BABA LAOSasa Kiba unamfaninishaje na Chibu.
Chibu ni taasisi ya kimataifa.
Kiba ni muimnaji wa Tanzania kipenzi cha watu wa Mombasa tu.
Diamond mapokezi nyomi hatari(DIAMOND THE GOAT)nikutokana na mapokezi yake makubwa kigoma, ambapo alikiba mzee awezi fikia.
Maana alikiba wameudhuria watu hata 100 hawajafika, huku diamond walikuwa zaidi ya 10000,na kuandika historia kubwa.
Kwahiyi Kama wanajamvi kwenye jukwaa la celebrities tumeamua kwa moyo mmoja kumpitisha DIAMOND kuwa the GOAT.
Sina timu ila ni fan wa mziki mzuri,na atkae ongea fyongo anakula block na ban juu.
Povu kafukie sabuni
Baby nakupenda sanaDiamond mbuzi!!
Usinifokee
Njoo tufokeane kigoma sawaDiamond mbuzi!!
Usinifokee
Apiaah!!Baby nakupenda sana
Nlifikiri upeo wako mdogo upo kwenye kumshabikia Lisu tu!Hivi Alikiba alimla dada yako pande zote alafu akamtelekeza?
Walai baby haki nakuomba sanaApiaah!!
Huyu jamaa ni vumbi kichwani aiseeNlifikiri upeo wako mdogo upo kwenye kumshabikia Lisu tu!
Kumbe hadi kumshabikia Kiba?
UmetishaWalai baby haki nakuomba sana
Umekubali?Umetisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nlifikiri upeo wako mdogo upo kwenye kumshabikia Lisu tu!
Kumbe hadi kumshabikia Kiba?
Mzee Hili sio jukwaa la matusi kwani hamuwezi kutoa hoja bila matusi?Hivi Alikiba alimla dada yako pande zote alafu akamtelekeza?