wabongo ndio wako sahihi. wazungu wanamstress tu kumfanya escorter wa davido kwenda kuchukuwa tuzo.
Ebwana kweli Ally Kiba hajielewi kbsaaaaaa kuna swali alikuwa anamjibu sporah show akasema eti siti aliyokuwa amaikalia ina vumbi tuu kwa sasa ila Diamond yupo kulee back bench.Very stupid comments kwa mtu kama aliy kiba aisee.Ali Kiba ni moto mkali,..sema ni kama jamaa hajielewi....japo na Diamond ni mkali na ajielewa na anajituma sana.
acheni kumfananisha diamond na ally kiba,diamond yuko evarest wakati ally kiba ndio kwanza anapanda kitonga.
Kweli kaka maana huko kote alikokwenda kaambulia patupu tu na hilo siyo lengo
Ngoja atoe hyo single ndo tutaamua!0
Wote viazi bhana...
Hivi Ali kiba anatoa wimbo wake lini?? Naona Anataka kurudi kupitia mgongo wa Domo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ali Kiba mkali Diamond anabebwa na promo.
Ana single yake mpya kaimba na mdogo wake,inaitwa pita mbele..kumbe ata washabiki wake hamuijui?
Wabongo bwana yaani alikiba na diamond du haya maajabu..diamond anajua jamaani diamond ananajua jamani., shake your bum bum ooooh baby
Sikiliza nyimbo ya Kiba ya Usiniseme. Maneno ile nyimbo ni ovyo sana, Diamond hawezi kutoa lyrics kama zile, ndo hapo utajua Kiba anabahatisha tu. Sema sauti yake kama angetungiwa nyimbo na Hadija Kopa, Mzee Yussuf angepata mpinzani.