Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

kapiga wema huyu nikisoma saikolojia yake hapa naona kuna kitu
 
Ningekuwa na nafasi ya kumshauri Ali K, ningemshauri asiwekeze mawazo yake kushindana na Dimond, ningemshauri tu atoe nyimbo nzuri then atarudi taratibu tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

"Like 100"
 

Mistari yenyewe imekaa kitaarabu taarabu. Maneno kama hadija kopa hivi.
 
"YULE ALIYEKUPA WEWE,NDO KANINYIMA MIMI,NA KAMA RIDHIKI ANATOA YEYE BASI NTAKOSA MIMI,ILA MOLA NO ANAETOA,TENA KWA FOLENI HATA KAMA NIPO NYUMA NITAPATA LAZIMA".....

Aisee hiki kipande sijawahi kukisahau. Kina ujumbe mzito sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ally Kiba safi sana, hajisifii wala kujikweza, hapendi scandle yeye anajilia Spora kimya kimya.
 
Ally Kiba safi sana, hajisifii wala kujikweza, hapendi scandle yeye anajilia Spora kimya kimya.

Kwahiyo kwako hizo ndo sifa zilizokufanya umuone kiba yupo juu ki music??? Dah kaz kwelkwel...
 
Team Ndomo wanamidomo kama nyungo za kupepetea mchele
 
Mwacheni Ali Kiba apumue lol
Kila mtu ana kiwango chake cha muziki ,
Ila mashairi ya Ali Kiba yako vizuri
 
Ali kiba anatafuta kurudi kwny gemu kupitia Diamond. Ali Kiba mchumb tu kwa Platnumz, kuanzia;
1. Stage Presence
2. Creativity
3. Choreography
4. Uandishi
5. Mkwanja
6. Fan base
7. Kutoboa mipaka
8. Vichupa vyenye akili, etc
So Ali kiba ataishia kupiga kelele kwenye media. Platnumz ataendelea kulead wao wanafollow.
 
Ali kiba yuko juu,yeye anapata kick kwa ngoma zake kali,domo yeye kick yake ni skendo na misifa....hakuna wa kumfananisha na kiba hadi sasa....
 
Kwahiyo kwako hizo ndo sifa zilizokufanya umuone kiba yupo juu ki music??? Dah kaz kwelkwel...

Kipengele gani hapo nimeongelea muziki wake? Kama unampenda domo endelea kumpende siyo lazima wote.
 
Kipengele gani hapo nimeongelea muziki wake? Kama unampenda domo endelea kumpende siyo lazima wote.

Acha wivu Rich Pol, upende husipende Diamond ni mwanamusiki aliye na kiwango cha juu hapa nchini kwa sasa. Ni wajibu wangu, wako na watanzania wengine kulitambua hili. Tuache wivu usio na faida. .....Huyu Domo huko juu inabidi tumuunge mkono kwa faida yake na taifa kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…