Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

hii ngoma hata haiishi hamu kuisikilza halafu we dimpoz kaa kimya asingekua yeye kukubeba ungekua unavua migebuka kigoma alaaaaa pu.....v
 
Huyo bob. Mziki ushamshinda kitambo kama Ali K.
Wamebaki kukata mauno kama feni kwenye video zao.

Na bado domo atawakimbiza sana mwaka huu....
 
Huyo bob. Mziki ushamshinda kitambo kama Ali K.
Wamebaki kukata mauno kama feni kwenye video zao.

Na bado domo atawakimbiza sana mwaka huu....

Unataka useme ndomo hakati mauno??
 
Huyo bob. Mziki ushamshinda kitambo kama Ali K.
Wamebaki kukata mauno kama feni kwenye video zao.

Na bado domo atawakimbiza sana mwaka huu....

Kwanza nimecheka sana kukata mauno ka feni jf jamani....halafu point kwa domo bado sna kiukweli kwa mimi sijaona cha kunshtua kwenye hiyo mwana sijui nn diamond is the best to me na huyo bob aache kutafuta kik anatafuta pa kujipatia kaumaarufu sasa
 
Sio kama hao wawili me utanambia kwenye huyo video yake utaona atakavyokata mauno

Tusihukumu kwanza ndugu let us wait..ndo tuanze kunyanyua vinywa vyetu,akileta video mbaya ttakosoa pia ila kwasasa tumpongeze kwa #gud music aliyotoa.
 
Ukweli unauma ata mi najua kiba is very talented
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…