Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

[Q UOTE=pinno;7751619]Robert kiyosaki huwa anasema baada ya kuuza nakala nyingi sana za kitabu chake "Rich dady ,poor dady" Watu wakamuuliza wewe inakuwaje unauza kuliko waandishi walobobea katika mambo ya personal finances, Maprofessa wa Harvard na Wataalam kutoka Wallstreet?? kwa nini???

akasema " Its because am a best selling author and not a Great author while those are Great Authors and not Best selling Authors".

This is true kwa Marlaw, Alikiba, na it was very true kwa King of Freestyle Albert Mangweha RIP. Ni watu wanaojua sana, ni kama hao maprofesa wa harvard, wanaoshindwa kuuza vitabu vyao kwa levo ya Kiyosaki kanjanja mmoja anaeandika juu ya nertwork marketing. Namfaham Marlaw since Iringa 2004 enzi hizo kwa 2d Thomas na Temmy G. tulikuwaga tunasema " Dah huyu jamaa akitoka, atakuwa juu sana" akatoka juu then akawa kawaida

Mtandao wenye bidhaa nzur kuliko zote unaweza kuwa zantel, lakin wenye wateja wengi na faida kubwa ukawa voda au tigo.
 
we ulikua ujui siye kila aliyezaliwa magomeni anaujua mji,,,wengine hata posta hawajawah fikaa!
 
i av a crush for diamond but am in love with ali kiba....though kimziki diamond mkaliiiiiiiiiiiiiiii......." now show me how u do it...ngoroooo .......ur my number one.......my darling, roho yangu mama" mwaaaaaah platnum " just thinking loud "
 
Usiseme kaubadilisha muziki WETU!muziki upi?me simkubali hata kidogo na asiombe ale msosi na mimi natafuta sumu ya panya af inauzwa sh mia tu...me nawaelewa akina hayati marijan,maneti,jery nashon dudumiz,mzee gurumo,hayati TX,nico zengekala,akina banzastone na watu dizain hiyo....huyo diamond hunishawishi kabisa labda wmbo wa mawazo tena napenda midundo ya wmbo tu na c kingine,mtazamo wangu tu.
 
hivi kumbe unaweza kuzaliwa na kukulia kariakoo na bado ukawa mshamba?

Inategemea ni kariakoo ipi..maana alikiba amekulia mchikichini bondeni kule ambako maji ya TBL yale machafu yanamwagikia yaani mtaa wa muheza mwisho kabisa kule alafu unaingia kwa chini.. Kiba kinachomsumbua ni ushamba na kutotaka kujifunza kitu ambacho ni tofauti na Diamond.
 
dah! Huyu jamaa namkubali kwenye song la "Mac muga" yaani alinituma sana, lkn naye katumika kivingine, mwambie huko ulikozamia hakuna mgeni, arudi atoe mac muga ii na ile karim, atauza sana. Hebu mwambieni. Pia kuna yule mwenzake aliyeimba "dunia tunapita" then kaimba na juliana, hata fb wala kwenye tv simuoni!
 
Hapo kwenye msimbazi sikumwelewa kabisa huyo Ali kiba, katoka kufanya kolabo kali kama hiyo anatoa wimbo akijisifu alivyo kula mayai na kujam.pi.a watu ucku?
 

nazungumzia mabadiliko kwenye malipo ya show mkuu....gurumo kaanza muziki toka diamomd ajazaliwa leo diamond kaja kumpa gari gurumo...kuna msanii yoyote alishawahi fanya hivyo hapa bongo?
 

kule mm ndio home na tumesoma shule moja primary mchikichini japo alinizidi madarasa kama matatu hivi...nadhani sio ushamba ila ujuaji mwingi sijui kwann aliamua kujitoa G.Record maana nayo ni sababu ya hivi
 

mwenzie kaenda kuuza unga south afrika
 
binafsi sijawahi kumpenda diamond katika maisha yangu.
Nalog off
 
Kwa uongo huyu! we unafikiri unaweza kuishi kwa amani kwa kusikiliza nyimbo za kununa,tafrani roho muda wote?most of the time unatakiwa uwe mindful not mindfull!Chillax!
 
huku hukiwa huna sababu ya kutompenda kama ipo basi sababu binafsi sio ya kimziki...ndio watanzania tulivyo
sio watanzania tu karibu kila mtu duniani kunakuwa kuna mtu humkubali hata iweje.Kama vile ambavyo sijawahi kuipenda Yanga,yaani Yanga hata ikicheza na timu ya Rwanda basi nitaishangilia timu hiyo ya kutoka Rwanda.
Nalog off
 
Ally kiba ni mshamba watu hawamjui tu...huoni hata pose zake za kishambashamba?

Ukweli mchungu sana huo.Hata pozi kwenye video zake ni mbovu kweli.
He is talented kuliko Diamond lakini Diamond kamzidi akili ya biashara ya muziki.
 

Kaka wewe ni mkali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…