Diamond Platnumz aahidi kuwafanyia kufuru wanatandale

Ukilitizama jambo hilo Kwa jicho la tatu la kiroho kuna kitu utakiona lkn kwa waliolemaa kiakili na kiupeo wanaona ni misaada iliyotolewa na mwema, haya yetu macho!!!
 
Ukilitizama jambo hilo Kwa jicho la tatu la kiroho kuna kitu utakiona lkn kwa waliolemaa kiakili na kiupeo wanaona ni misaada iliyotolewa na mwema, haya yetu macho!!!
God save us
 
Dada kuna watu wanatumia mtaji wa elfu 50 na wanalaza elfu 20 faida kila siku ... Sio lazma awape nyingi ..kama hauna plan ya biashara ata upewe milioni 20 zitapotea tu .
Acha zako? faida ya Elfu 20 watu wa wapi mkuu
 
Kabla hayo je yule Mdada Hawa kafikia wapi !!??? Hzi ni Kiki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…