Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 195
Msanii anayefanya vizuri na kuitangaza bongo flavour kimataifa na hitmaker wa "Hallelujah" Diamond Platnumz hivi punde atakuja na Album yake mpya iitwayo "A boy from Tandale"
Na bila kusahau msanii nguli wa Hip hop wa marekani kavutiwa na ujio wa album ya Diamond Platnumz na kupost "fire "fire fire"
Kumanisha kuikubali ujio wa album hiyo ya Diamond Platnumz.
Kila la kheri Diamond Platnumz naamini nia yako itatimia kuipeleka bongo flavour umarekani.
God bless diamond Platnumz and artist from Africa continent.
Na bila kusahau msanii nguli wa Hip hop wa marekani kavutiwa na ujio wa album ya Diamond Platnumz na kupost "fire "fire fire"
Kumanisha kuikubali ujio wa album hiyo ya Diamond Platnumz.
Kila la kheri Diamond Platnumz naamini nia yako itatimia kuipeleka bongo flavour umarekani.
God bless diamond Platnumz and artist from Africa continent.