Diamond Platnumz aja na albamu yake "A boy from Tandale"

Carbondioxide

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
733
Reaction score
195
Msanii anayefanya vizuri na kuitangaza bongo flavour kimataifa na hitmaker wa "Hallelujah" Diamond Platnumz hivi punde atakuja na Album yake mpya iitwayo "A boy from Tandale"

Na bila kusahau msanii nguli wa Hip hop wa marekani kavutiwa na ujio wa album ya Diamond Platnumz na kupost "fire "fire fire"
Kumanisha kuikubali ujio wa album hiyo ya Diamond Platnumz.


Kila la kheri Diamond Platnumz naamini nia yako itatimia kuipeleka bongo flavour umarekani.
God bless diamond Platnumz and artist from Africa continent.
 
Album ya kwanza ya mfalme wa mziki wa tanzania..

kuna watu wana album 20 lakini hata kenya hawajulikani..

mtoto wa tandale album ya kwanza tu maishani hadi kina rick ross wanaogopa huu ujio

mauzo ya hii album yatavunja record africa.. kwanza itauzwa online tu huyu mtoto wa tandale alivyo na akili
 
KIBA yupo FIESTA MBEYA. Asisubiri huruma za mashabiki.KIBA achia wakina ASLAY hayo matamasha ya FIESTA tumia kipaji chako tunga nyimbo, tafuta uongozi mzuri unaona mpaka G MONEY anaanza kujilinganisha na wewe. Kwa kujulikana vyombo vya habari vya nje VANESSA MDEE karibu atakupita.Mashabiki zako wapende wasipende DIAMOND sio level yako tena.Mpe hata LE MUTUZ Kazi ya kuwa mpiga picha wako
 
Bila kumtaja unajiskia kuwashwa washwa
 
Si uanzishe uzi wa kumshauri maana huu ni wa pongezi kwa Mondi
 
Cover yake imefanana na Grateful ya Dj.Khaled na Carter IV ya Lil Wayne....alivyokuwa mtoto alifanana na hao wawili hahaha Asahd na Lil Wayne...hahaha!!natania tu
 
Basata( Baraza la sanaa Tanzania) lampongeza diamond Platnumz kwa tuzo uko marekani.
 
Ahaha aisee ni kweli kwa level ya Kiba kuzunguka na wakina Sharomwamba Fiesta ni aibu
 
siku zote juhudi ni bora kuliko kipaji... diamond ana juhudi kwenye kila anachofanya na ndio maana anawashinda wengi alio wakuta kwenye game
 
Shida yako Diamond umekuwa MTU wa ZINGZONG yaani UNASHIRIKIANA na VICHWA vivumavyo ambapo HUWA unadumaza uwezo wako yaani inafanya mashabiki wa hao WENGINE hata kama hawakukubali wewe itabidi hiyo Video au audio ipate SUPPORT mitandaoni na hii itakupa wakati mgumu kwa kushindana na mtu anayeonyesha uwezo wake binafsi.
Nyimbo za ZILIPENDWA na HALLELUJAH ni kielelezo ambapo zinashindanishwa mitandaoni dhidi ya NYIMBO iliyoimbwa na mtu mmoja ALI KIBA "SEDUCE ME"hebu kumbukia mfumo wa AWALI wa kuimba peke yako ili UONYESHE UWEZO.
Viwers wa KUSHIRIKIANA idadi yao Ukiigawa kwa kila mmoja uliyemshirikisha then ukashindanisha na idadi ya viwers wa mtu mmoja utajikuta UKO-DOWN.
 
We Huna chochote unachokijua ila unataka kujitia ujuaji...Kwanza hapa bongo hakuna msanii wa bongo flava mwenye albam 20 alie na Albam nyingi ni Sugu ambae azivuki hata 15.

Na hii sio Albam ya kwanza ya Diamond wakati anatoa albam ya "Kamwambie" na ile ya pili "Lala Salama" nina uhakika ulikuwa unalima viazi kijijini kwenu Simiyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…