Nianze kwa Refference ya Wale Vijana walikamatwa na Polis Wakiwa wanacheza Nyimbo ya Darasa /Muzuki. Dereva alionekana kucheza na Kuachia Usukani , huku abiria pia wakiwa hawajafunga mikanda . Kitemdo kile kilionekana Kukiuka taratibu za barabarani , ikiwa ni pamoja na kuhatarisha Maisha ya dereva na abiria waliokuamo ndani.
Kwenye Video , Utamuona Diamond akicheza Nyimbo ya Marry Me , Huku yeye na abiria aliwabeba wakiwa hawajafunga mikanda , kwa nyuma anaonekana Mtoto mdogo akiwa amesimama kwnye kiti, haitoshi.Nasibu anaonekana akiachia Uskani huku akiangalia mtu anayemchukua video.
Mpaka sasa sijaona Hatua iliyochukuliwa
My take .
Ifike mahala sheria tulizo nazo zieheshimiwe na ziguse kila mtu anayezivunja pasipo kujali Umaarufu , sheria ni msumeno , tunataka kuona Ikitumika kumkamata Mtu huyu.
Video hii hapa