Diamond Platnumz amchana Ali Kiba kwenye Fresh remix - Fidq ft Rayvany

Diamond Platnumz amchana Ali Kiba kwenye Fresh remix - Fidq ft Rayvany

Kwenye ngoma ya FID Q, FRESH remix....
Diamond anasikika akisema

Ukinichukia sikosi hela, kuni "compea" na Sindilela haiwezi kuwa fresh..

"Simba toka Mbuga ya Tandale,naona swala wana force tuwe sale sale."

"Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kale."

"Si walitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale".. Fresh x2


.......Pole Kiba si ulitaka kiti, Simba amekupa hadi kitanda ukalale....ila isije kuwa unakiuno kidogo halafu unataka pensi la Pepe Kale.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwenye ngoma ya FID Q, FRESH remix....
Diamond anasikika akisema

Ukinichukia sikosi hela, kuni "compea" na Sindilela haiwezi kuwa fresh..

"Simba toka Mbuga ya Tandale,naona swala wana force tuwe sale sale."

"Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kale."

"Si walitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale".. Fresh x2


.......Pole Kiba si ulitaka kiti, Simba amekupa hadi kitanda ukalale....ila isije kuwa unakiuno kidogo halafu unataka pensi la Pepe Kale.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
afu kiba huwa HAJIBU upuuzi...hapa ndo utajua siyo kila anaevaa suruali ni mwanaume[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ngoma ya FID Q, FRESH remix....
Diamond anasikika akisema

Ukinichukia sikosi hela, kuni "compea" na Sindilela haiwezi kuwa fresh..

"Simba toka Mbuga ya Tandale,naona swala wana force tuwe sale sale."

"Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kale."

"Si walitaka kiti nimewapa hadi kitanda wakalale".. Fresh x2


.......Pole Kiba si ulitaka kiti, Simba amekupa hadi kitanda ukalale....ila isije kuwa unakiuno kidogo halafu unataka pensi la Pepe Kale.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HAHAHAHAHA nimecheka sana hapo kwenye kiti hakika kalala kabisa maana hata wimbo kakataa kutoa
 
Back
Top Bottom