Diamond Platnumz amchana Ali Kiba kwenye Fresh remix - Fidq ft Rayvany

Pipozi tuweke mbali utimu laiti daimondi asingekuwa juu,yule bushman king uchwara kiba angekuwa ameahapotea longtime ....

Sent using Jamii Forums mobile app
uko sahihi hawa Diamond na Kiba ni kama walivyokua Ray na Kanumba,

Alikiba anapata pressure kubwa sana kutoka Kwa mashabiki zake kutokana na Diamond,alikiba ni msanii anae rizika na mafanikio madogo sana na hana kiu wa kutusua kikubwa kama Diamond,kiujumla yeye ni average artist,ila kwa sababu team kiba wanampa amshaamsha ndio na yeye anajaribu kukaza.
 
Wkati kanumba akiwa hai Ray kigosi alikuwa anadai yeye ndo babu kubwa kuliko Kanumba, mpaka ikawa kila kanumba akifanya jambo la maendeleo mpaka ray nae akopy kisha anadai yeye ndo alianza. SASA BASI baada ya Kanumba kuondoka duniani, Ray nae akajifia zake huko.

Kanumba alikuwa anajiita the greater. Kanumba The Great
Ray kigosi nae akijikuza akiita the greatest RAY THE GREATEST

 
Hivi vitu mtachoka lini kuvizungumzia......
Watu tulishaanza kusahau kama hao watu haelewani.nyie ndo mnawapump
Na wenyewe wameshajua udhaifu wenu ndo mana hawataki kusikia kupatanishwa.

Mmewasahau hadi wasanii wengine......utasema wao tu ndo wnajua kuimba na uku kuna wasanii wanaimba vizuri kuzidi wao.
Embu punguzeni mahaba muweze tazama na wengne.mnawafanya hadi wanakata tamaaa
 
Hapana aisee, na kafanya makusudi. Maana katrend sana kuhusu issue ya Mobeto, so anajua watu watanunua tu.
N hapo ndo eneo Domo yuko hatua moja mbele ya wasanii wenzake.anajua mno ku spot opportunities and make the most of them.na watanunua tu!
 
kwanza sijawah muona simba anayebana saut unless otherwise kuwe kuna simba shoga nowdays[emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza sijawah muona simba anayebana saut unless otherwise kuwe kuna simba shoga nowdays[emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka Lakini...

Binafsi sikubaliani na Msanii YOYOTE TANZANIA ALIEWAHI KUWEPO NA ALIYEPO TANZANIA AMA AFRIKA MASHARIKI kulinganishwa na Diamond.
Diamond yupo juu sana.

Mimi sio fan WA Daimondo waka kiba,

lakini sitaki mje kutoa sifa akiwa marehemu. Tumwambie hapa hapa akiwa hai, iwe chungu ama Tamu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji106] [emoji106] [emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mondi angekuwa mtoto wa like na tabia zake za kushobokea watu mmmmmmmmh nahis tungekuwa na wajomba zaid ya saba na kila mmoja na babake huhuhuhuhuuu natania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…