Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wote mnaomponda Diamond.. mnawivu juu yake hakuna lingine. Au jaribuni kukumbwa na rafiki yako amseme hivyo baba au mama yako na picha juu.
Hata Mondi hana ground Za kisheria Za kumshitaki Dimpoz, kwani kuna tatizo kisheria Dimpoz akiwa baba wa diamond?Sema dimpoz atamshataki kwa ground zipi? Mondi hakumtaja jina huyu yeye kaweka na picha kabisa.
HAKUNA ASIEJUA KAMA OMMY DIMPOZ NI SHOGA.NA KAMA HUJUI BASI SUBIRI SIKU AINGIE KWENYE 18 ZA MANGE.KUNA PICHA NA FULL VIDEO ZA OMMY AKILIWA KIBOGA UK.
Maadili ya jamii forum hayaruhusu video hizi
Uniite shoga, halafu unataka unichagulie nikujibu vipi??????Kumuingiza MAMA ktk kiki na maugomvi a ya kijinga...ilikua extreme.
Lakini kila siku tunasemahapa.
ELIMU ELIMU ELIMU......
Sasa Kama kweli kamlaJamani nijuavyo hakuna Mahali Diamond Kamtaja Jina Mtu. Ila kupost maneno machafu na picha ya mama wa mtu aisee....
Halafu watu wanampiga Tundu Lisu risasi wakati kuna hawa wanaachwa achwa tuu wanasavaivu!
Nauliza tu hivi alitamkaga kweli kwamba ommy ni shoga kwa kiswahili standard au alifumbaJapo Ommy alipitiliza kwa kumsema vibaya mzazi wa Diamond, ila angeacha lipite maana ugomvi aliuanzisha yeye.
What if naye akimshataki kwa kumwita shoga?
Ukianzisha ngumi ukapigwa panga la kalio usilalamike maana hatupangiani silaha
Sasa kama ni shoga kweli..Uniite shoga, halafu unataka unichagulie nikujibu vipi??????
Well nitakuja na silaha zote nilizonazo, shwain!
Kama alifumba kwenye macho ya sheria inaweza kuwa hakumtukana yeye ila kwa wanaojua mahakama ya kitaa alisema shogaNauliza tu hivi alitamkaga kweli kwamba ommy ni shoga kwa kiswahili standard au alifumba
IQ zetu ni ndogo sana,ktk kisa kile hakuna sehemu alipomtaja jina wala kuweka picha ya Ommy kwenye maandiko yake,hiyo ni akiliAmepanic.
Kama jamaa naye akiamua kumshataki kama yeye alivyofanya atatoa wapi ushahidi kwamba Ommy ni shoga.
unajua ommy kumshtaki diomond hatoweza kwasababu diomond hamna sehemu alipo msema mwenzie waziwazi kwa jina katumia mafumbo,sasa ommy katumia picha vibaya hivyo achomoki hiyo kesi,lazima apatikane na hatia kabisa.ommy dimpozi ameshikiliwa zaidi ya masaa matano leo baada ya mashtaka aliofunguliwa na diamond kwa kusema alimgegeda maza wa taifa
wadau wamekuja juu sana huko mitandaoni na haya ndo maoni yao
Sasa diamond amshitaki ommy kwa ile picha alipost mamake mxeeew .
- mbitegekoHuu Ugomvi ushakuwa beyond Limit sasa ni chuki tupu
- samiah_bbyJamani tutayaona mengi
- mommy_geniusKhaa sasa kama kamla kweli jee
- joycemat3180Mjinga ana akili
- asianooor2Na hamisa pia akashitaki alimuita bitch
- glory.ndosiSafiii
- balafu_ya_moyo_wanguMangapi yeye amesha tukana wenziye mbona hawaja msitaki? Kweli naamini Kama sikuzote ukweli unauma mkini wakufikiria @di more
- am_perfNyokoo
- neemashija96mkuki kwa nguruwe ye alivyomwambia mwenzie ana pumuliwa je angeshitakiwa nawe ndo maana mwenzie kamuonyesha kuwa yuko f more
- khadija.bagakamuonea tu...yy kila kukicha anatukana watu...mara mbichi
- vincycai6145Diamond thinks he above the law in Tanzania. If Tanzanian police even bother with this bullshit. Then we know how corrup more
- joycemat3180Dimpozi amgeuzie kibao yy kwann alimtukana
- cathy_msoffeMond anaanguka kisanaa hivyo, yy hodari kutukana wenziye yy akiguswa anakimbilia polisi. Km mwanamke!! Sura mbaya roho m more
- mamkweonfleekNyuchi za wadada zinamlaani. Laana ya kukataa mtoto na kukimbilia kulea wa marehemu zinamuandama. Laana za baba yake zin more
- wintymarthaMbuuuta.
- saminatazOmmy pia ashitaki diamond kwa kumtusi na kumuita shoga, hizo ni accusation kama diamond hana evidence, awekwe ndani for more
7 hours ago
- ___aleemhumu wengi mlifurahiaa mam kudhalilishwa dAh so mama akishtak kudharirishwa mnamind mond watz mko vip
sheria hujui wewe,utakuja fungwa,u better zeep up ur mouth for the sake of ur head.kinywa kiliponza kichwaYaani mimi ningekua dimpoz ningesema ni kweli nilitembea nae na sio dhambi sasa shida ipo wapi?
Mond mchokozi kajibiwa anapanick, anapenda kujiona yeye ndiyo ana haki ya kila kitu
Ni kweli sijui sheria mkuu maana sijaisomea, ila nielimishe kidogo kwa kunijibu hili swali.sheria hujui wewe,utakuja fungwa,u better zeep up ur mouth for the sake of ur head.kinywa kiliponza kichwa