@DiamondKaranga pakiti moja shilingi Mia hiizi...
LADIES AND GENTLEMEN JUS WANTED TO LET YOU KNOW THAT'''
TAREHE 05/08/2017 PALE TAIFA MGENI RASMI ATAKUWA MKUU WA NCHI THE MAIN MAN, MR PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI....NAAMINI MPAKA SASA HUNA TENA WASIWASI JUU YA SWALA LA USALAMA...NASEMAJE [HASHTAG]#TWENZETUTAIFA[/HASHTAG] KIINGILIO BUREE!!!
Diamond Platnumz said.
Mwaka 2020 kuna hatari mtu akapata overconfidence,,
manake sasa hizi watu wanaficha hisia zao mioyoni mwao na kutundika tabasamu usoni,
sasa kuna hatari watu wakawa na false sense of security concerning ballot box,
lakini akiweza kusolve hii issue ya makinikia,atapita kama analia vile