Broadcast
Member
- Jun 19, 2022
- 76
- 285
Jana kwenye uzinduzi wa 7 Media ya Baba Levo niliona kumbe Mwijaku hana shida na Diamond wako poa kabisaa.
Pointi yangu natamani sana Diamond amwambie mwijaku hata kama anamkubalia amtukane ili apate content za kumpa pesa lakn hasizidishe matusi na dhihaka anazomfanyiaga Diamond.
Maana kuna wakati anazidisha mpaka inakua kero
Pointi yangu natamani sana Diamond amwambie mwijaku hata kama anamkubalia amtukane ili apate content za kumpa pesa lakn hasizidishe matusi na dhihaka anazomfanyiaga Diamond.
Maana kuna wakati anazidisha mpaka inakua kero