Diamond platnumz anaikumbuka hii

Msanii gwiji Mond, Dangote, Chibu, D'billion na majina mengine kibao anayojiita je anakumbuka huku alikotoka.
KIJANA YEYOTE KIJANA MWENZANGU TIA BIDII LOLOTE UNALOFANYA MUNGU ANAKUONA NA IPO SIKU ATAKUFUNGULIA NJIA USIKATE TAMAA
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] watu tunatoka mbali sanaaaa!
 
Kwa Muha tu, atakuambia si yeye kwa sababu huyo kijana ni mdogo mno na yeye ni mtu mzima kwanza hajawahi kuwa bishololo kama huyo dogo kwenye video.
 
Kwa Muha tu, atakuambia si yeye kwa sababu huyo kijana ni mdogo mno na yeye ni mtu mzima kwanza hajawahi kuwa bishololo kama huyo dogo kwenye video.
[emoji51] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji51] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Waha ni mwisho wa ubishi....anashindana na redio na anatapa kaishinda redio. Mwangalieni Zitto, ataanzisha hoja Bungeni ili abishe tu na usikut hata hajuwi jibu lakini atabisha. Waha sina hamu nao, kwa ubishi wa kijinga....hawana mfano hapa Tanzania hata waluguru hawafui dafu kwao.
 
Hehe mbona kama una bifu na waha? Kuna muha alikukereketa nini?
 
Msanii gwiji Mond, Dangote, Chibu, D'billion na majina mengine kibao anayojiita je anakumbuka huku alikotoka.
KIJANA YEYOTE KIJANA MWENZANGU TIA BIDII LOLOTE UNALOFANYA MUNGU ANAKUONA NA IPO SIKU ATAKUFUNGULIA NJIA USIKATE TAMAA
Mkuu! Huu mwimbo wameutoa unaweza kuuweka tena?
 
Historia nzito ya penzi kali kati ya chibu na wema. One of the most headline makers ever.
 
Mkuu hili swali, unatupatia taarifa?
 
Ungewatumia kwenye account zao za instagram au facebook wangekujibu fasta sana ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…