Diamond Platnumz anavuna alichopanda. Wasanii wenzie wasilazimishwe kumuunga mkono. Mmesahau ya Fiesta kipindi cha Makonda?

Diamond asijione yuko salama kupostiwa na wasanii ambao hua hapendi kazi zao kufanya vizuri, in short wanajua kwamba diamond hua anawabania, huu unaweza ukawa ni mtego mkubwa sana kwa diamond. Asipokua makini ndio itakua mwisho wake!

Hua anawabaniaje?
 
Wajina,baadhi ya mibongo ina roho nyeusi sana,yaani hawapendi kabisa mafanikio ya wengine
 
Kama yeye asivopenda mafanikio ya wanamuziki wengine
Sidhani,asingewainua kina harmonize,rayvann,zuchu na wengineo

Amin wabongo hatupendi wenye mafanikio ila Diamond sijaona kosa lake,ni chuki binafsi tu.Ukiangalia wengi wanaomsema vibaya wana wivu na mafanikio yake.Mfano hao wanaosema kuwa ooh aliipigia chapuo CCM kwenye uchaguzi mkuu uliopita,hata wewe ungekuwa msanii unayejielewa huwezi kwenda tofauti na chama chenye Serikali,Afrika demokrasia bado sana kukubali mawazo tofauti
 
Sasa mtu unamsifia makonda alafu niwe na mapenz na wewe ya nini
 
Hivi toka 2011 unamuombea jamaa ashuke haujakoma tu??
 
Wabongo ndio walivyo, mizengwe ndio sehemu ya maisha.
 
Jaman kwani wapiga kura ni kina nani??
 
Kuwq muelewa Lissu na wanaharakati wengine hawajamushambulia Mond kuhusu mambo ya uchama. Wanachokidai ni Mondi kutokemea uovu wa uvunjifu wa haki za binadamu uliokuwa ukifanywa na ile serikali, badala yake akawa anawaunga mkono waziwazi.
 
Kuwq muelewa Lissu na wanaharakati wengine hawajamushambulia Mond kuhusu mambo ya uchama. Wanachokidai ni Mondi kutokemea uovu wa uvunjifu wa haki za binadamu uliokuwa ukifanywa na ile serikali, badala yake akawa anawaunga mkono waziwazi.
Huo uvunjifu wa haki kama upi ambao alikuwa anauunga mkono?
 
Kwani diamond akichukua tuzo nyie mnafaidika nini!???..na hasipochukua nyie mnapata hasara gani!!?..kila mtu na apambane na Hali yake bwana..
 
Watu wanakufa awamu ya Magufuli, yeye kama mtu mwenye ushawishi ndani ya Taifa anaimba nyimbo eti akae kimya.

Hovyo kabisa, ameshindwa kujua mioyo ya Watanzia wengi imechoshwa na siasa, vijana wengi walianza kumkataa kutokana na unafki wake.
 
Watu wanakufa awamu ya Magufuli, yeye kama mtu mwenye ushawishi ndani ya Taifa anaimba nyimbo eti akae kimya.

Hovyo kabisa, ameshindwa kujua mioyo ya Watanzia wengi imechoshwa na siasa, vijana wengi walianza kumkataa kutokana na unafki wake.
Mbona mange kimambi alikua na ushawishi akawashawishi mkaandamane na hamkwenda watanzania ni wanafiki tuu, watanzania mngetoka wengi kwenda kuandamana naamini hata hao wasanii wengeunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…