Diamond Platnumz anyakua tuzo 3 AFRIMA, Vanessa Mdee aleta Moja nyumbani

Diamond Platnumz anyakua tuzo 3 AFRIMA, Vanessa Mdee aleta Moja nyumbani

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,407
Reaction score
3,260
attachment.php


Chibu katika ubora wake!!!

Tuzo alizoshinda ni...

1. Mwimbaji bora wa Afrika
2. Mwimbaji bora wa Afrika Mashariki
3. Wimbo bora Afrika (Nasema Nawe)

Vanessa Mdee amenyakua tuzo ya Best Artist in African Pop
 

Attachments

  • Screenshot from 2015-11-16 10:21:01.png
    Screenshot from 2015-11-16 10:21:01.png
    50.8 KB · Views: 1,223
Ni sheedah, vp kingkiba kanyakua ngapi?
 
Ila mambo mengine bana mi ni shabiki wa Diamond ila vitu vingine vinashangaza, sasa 'Nasema nawe' una uzuri gani wa kufikia hatua ya kuwa wimbo bora wa Africa? This is too much, ni bora wangeupa NANA ningewaelewa
 
Ila mambo mengine bana mi ni shabiki wa Diamond ila vitu vingine vinashangaza, sasa 'Nasema nawe' una uzuri gani wa kufikia hatua ya kuwa wimbo bora wa Africa? This is too much, ni bora wangeupa NANA ningewaelewa

tuzo za afrima zinausiana na utamaduni wa africa na wimbo wa nasema nawe ukiangalia una asili ya africa
 
Hii ni hat trick ya 2 ya international kama sikosei ndani ya mwaka huu chibu anapiga
 
Watu oooh katoa taarabu ndo keshaanza kushuka...haya hiyo taarabu mliyokua mnaiponda ndo habari ya Africa!

Hongera Chibu
 
Hizo tuzo za vichochoroni na kuhonga hazimsaidii chochote,,Hata wanaigeria hawana habari nazo..Diamond ameshachuja kimziki,,
 
Hizo tuzo za vichochoroni na kuhonga hazimsaidii chochote,,Hata wanaigeria hawana habari nazo..Diamond ameshachuja kimziki,,

Ooh na we. N moja Kati ya wanigeria msiokuwa na habari kuhusu izi tuzo 😀
 
Nilisha sema ukiona sehemu kuna kitu kinaitwa TUZO na Diamond akiwepo basi hesabu hakuna chako hapo..
 
davido yuko south afrika hizo tuzo hazijjui.. Wanigeria wenyewe hawazijui.. ni tuzo za vichochoroni

Haaaah et hazijui embu nenda katika insta page yke angalia na mwaka Jana alishinda tuzo mbili za afrima na alipost kusherekea we kumbe ujui hata acha kuropoka
 
Hizo tuzo za vichochoroni na kuhonga hazimsaidii chochote,,Hata wanaigeria hawana habari nazo..Diamond ameshachuja kimziki,,

Ameshashinda za barabarani nyingi kwahyo hizi za vichochoron ni rahis sana kwake yaan ni kama kumsukuma mlev vile
 
ameshinda category ipi na ipi jaman.yaan kama nawaona mashabiki wa kiba mwakan watakapopiga kura kwa fujo katka tuzo za ktma maana uwezo wao wa kuchukua tuzo ndo upo hapo
 
ameshinda category ipi na ipi jaman.yaan kama nawaona mashabiki wa kiba mwakan watakapopiga kura kwa fujo katka tuzo za ktma maana uwezo wao wa kuchukua tuzo ndo upo hapo

Mwimbaji bora Africa
Mwimbaji bora East Africa na
Wimbo bora Africa ule wa Nasema nawe aloimba na Khadija kopa
 
Sijawahi changia kwenye nyuzi za mtindo huu, leo
nimeona sio mbaya kuuliza humu.

Hivi huyu dogo Diamond hizi tuzo tatu kwa wakati mmoja amepata kwa kuimba kitu gani?
 
Back
Top Bottom