Sijawahi changia kwenye nyuzi za mtindo huu, leo
nimeona sio mbaya kuuliza humu.
Hivi huyu dogo Diamond hizi tuzo tatu kwa wakati mmoja amepata kwa kuimba kitu gani?
Ila mambo mengine bana mi ni shabiki wa Diamond ila vitu vingine vinashangaza, sasa 'Nasema nawe' una uzuri gani wa kufikia hatua ya kuwa wimbo bora wa Africa? This is too much, ni bora wangeupa NANA ningewaelewa
ameshinda category ipi na ipi jaman.yaan kama nawaona mashabiki wa kiba mwakan watakapopiga kura kwa fujo katka tuzo za ktma maana uwezo wao wa kuchukua tuzo ndo upo hapo
Sijawahi changia kwenye nyuzi za mtindo huu, leo
nimeona sio mbaya kuuliza humu.
Hivi huyu dogo Diamond hizi tuzo tatu kwa wakati mmoja amepata kwa kuimba kitu gani?
dangote atawaua na presha
Nasema nawe chezea viuno vile lazima watu wadate, wa west wanaupenda sana kitu tofauti kitu kiafrika hadi raha
Hongera Baba Tiffah aka Mume wa Zari.
Oh huku nimepotea njia.
Sijawahi changia kwenye nyuzi za mtindo huu, leo
nimeona sio mbaya kuuliza humu.
Hivi huyu dogo Diamond hizi tuzo tatu kwa wakati mmoja amepata kwa kuimba kitu gani?
Sijawahi changia kwenye nyuzi za mtindo huu, leo
nimeona sio mbaya kuuliza humu.
Hivi huyu dogo Diamond hizi tuzo tatu kwa wakati mmoja amepata kwa kuimba kitu gani?
Hizo tuzo za vichochoroni na kuhonga hazimsaidii chochote,,Hata wanaigeria hawana habari nazo..Diamond ameshachuja kimziki,,
Ila mambo mengine bana mi ni shabiki wa Diamond ila vitu vingine vinashangaza, sasa 'Nasema nawe' una uzuri gani wa kufikia hatua ya kuwa wimbo bora wa Africa? This is too much, ni bora wangeupa NANA ningewaelewa
Hahaaaa nnhatareee....Atakuja na thread "Napinga ushindi wa Diamond.".