Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Diamond ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni pamoja na MOST GIFTEDVIDEO OF THE YEAR, MOST GIFTEDNEWCOMER, MOST GIFTED AFRO POP na MOST GIFTED EAST AFRICA
source: bongo5.com
God bless him on his struggle