Diamond platnumz awabwaga Davido na Awilo longomba

Davido amuwezi hata kidogo Diamond kwa performance acheni kupapatikia wasanii wa nje.

Davido bado sana asee hata kuimba Davido ni kawaida sema Davido ni mkali sana wa kutunga vibao ambavyo vinachezeka ambavyo kimsingi ndo vinabamba kwenye soko a muziki

Naona Tecno za kununuliwa mnazitumia vizuri ongezeni bidii maana Maddam wenu anapita humu kuwakaguwa kama mnafanyakazi mliyotumwa, mkijisahau kibarua kinaota nyasi.
 
Naona Tecno za kununuliwa mnazitumia vizuri ongezeni bidii maana Maddam wenu anapita humu kuwakaguwa kama mnafanyakazi mliyotumwa, mkijisahau kibarua kinaota nyasi.

Hhhhaaaaaaa
 
Naona Tecno za kununuliwa mnazitumia vizuri ongezeni bidii maana Maddam wenu anapita humu kuwakaguwa kama mnafanyakazi mliyotumwa, mkijisahau kibarua kinaota nyasi.

Na zinafanya kazi kweli mbona wanawatuma wasio weza kujibu hoja zaidi ya mipasho haimusaidii kitu bosi wao its just a matter of time
 
haya tumesikia domo anatisha .anyebisha abaki
 
Naona Tecno za kununuliwa mnazitumia vizuri ongezeni bidii maana Maddam wenu anapita humu kuwakaguwa kama mnafanyakazi mliyotumwa, mkijisahau kibarua kinaota nyasi.

acha kubwabwaja wewe pimbi
 
Pimbi ni wewe uliyetungwa mimba kwenye mkesha wa Mwenge. Fanculo.
kumbe ndio akili zako unakesh kwenye mwenge ili utiwe zygote haya poa next time namimi nitakupa mimba pimbi we we.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…