kabisa mkuu hafai kuchukuliwa poa poadiamond sio kijana wa mchezo mchezo ..
kabisa mkuu hafai kuchukuliwa poa poa
Hongera sana baba nillan chibu kaza buti hainaga ku fail
diamond sio kijana wa mchezo mchezo ..
kariakoo
MNADANGANYWA MNAKUBALI TU ACHENI UJINGA! AWEKE TAKWIMU YA WASANII WENGINE KILA SIKU NA VIEWERS WAO ."Record mpya afrika??"
Mhhh!!
Naona tonge la ugali wa moto limekwama kooni unatapa tapa nalo tu....pole sana usiempenda kajaMNADANGANYWA MNAKUBALI TU ACHENI UJINGA! AWEKE TAKWIMU YA WASANII WENGINE KILA SIKU NA VIEWERS WAO .
SIJAELEWA NINI? WEWE UNAELEWA ULICHOKIANDIKA? TWENDE KWA HESABU JIBU SWALI LANGU VEVO KUNA WASANII WANGAPI AFRICA NA VIEWERS WAO NDANI YA SIKU TANO ILI TUONE DIAMOND NI NAMBA MOJA AU VIPIWewe hujaelewa hata mada tuliza akili kwanza
SIONGEI NA WATOTO WASIOJUA HATA KUTAWAZA KWENDA HUKONaona tonge la ugali wa moto limekwama kooni unatapa tapa nalo tu....pole sana usiempenda kaja
PovuuuuuuuuuuuuSIONGEI NA WATOTO WASIOJUA HATA KUTAWAZA KWENDA HUKO
Kapovuka balaaaHahahaha huyu anajitoa ufahamug
Kaendelee na issue ya ngada, kwani umeitwa huku au kiranga chako tu.Unatuchanganya asee....si hatujazoea kuprocess mambo mawili kwa wakati mmoja....subiri tumalizie ishu ya ngada then tutakuja kuendelea na haya mengine.....Au naye KATAJWA?
πππππππππππ Msataaayule jamaa anayejiita KING na team yake, Mbona sioni akivunja record hata ya mkoa wa Dar? anavunjia records zake wapi?