DIAMOND platnumz azidi kungara sasa anamiliki kijibend kipya kidogo

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Huyu jamaa anajua analofanya na yuko very serious katika kazi yake ya kufungua na kufyatua vibendi. Bog
Up
 
Duh mama Diamond kweli mswahili. Si kwa majibu hayo [emoji119] [emoji119]
 
Huyu jamaa anajua analofanya na yuko very serious katika kazi yake ya kufungua na kufyatua vibendi. Bog
Up
Kijibend ndio nini..? Kijana sio msanii tu ni mfanya biashara na ukishakuwa mfanya biashara lazima uwe mbunifu,, so Diamond ni Mbunifu kwenye biashara ya Muziki
 
Kijibend ndio nini..? Kijana sio msanii tu ni mfanya biashara na ukishakuwa mfanya biashara lazima uwe mbunifu,, so Diamond ni Mbunifu kwenye biashara ya Muziki
Mbunifu mpaka kufungua vijibendi vidogo kama icho alichompa hamisa mobeto akakiendeleze. Kibendi kina msanii mmoja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…