Diamond Platnumz azua gumzo mitandaoni

Ni Zari huyo kaandika, kwanza Diamond huko Twitter huwa anapost sana sana kazi zake. Daimond angekuwa yeye angeandika insta.
Huo ni mwandiko wa zari kabisa.
hahahah eti mwandiko wa Zari duuh
 
Ni Zari huyo kaandika, kwanza Diamond huko Twitter huwa anapost sana sana kazi zake. Daimond angekuwa yeye angeandika insta.
Huo ni mwandiko wa zari kabisa.

Yes! am convinced.
 
Ni Zari huyo kaandika, kwanza Diamond huko Twitter huwa anapost sana sana kazi zake. Daimond angekuwa yeye angeandika insta.
Huo ni mwandiko wa zari kabisa.
Aiseeee..... sasa mbona Diamond hakanushi kuhusu huo ujumbe hahahahaha
Kwani huo ujumbe una muhusu nani? na kwanini unafikiri Zari amepost na si Diamond....who is that bitch dying for fame?
hahahaha
 
Aiseeee..... sasa mbona Diamond hakanushi kuhusu huo ujumbe hahahahaha
Kwani huo ujumbe una muhusu nani? na kwanini unafikiri Zari amepost na si Diamond....who is that bitch dying for fame?
hahahaha
Nimeona uzi humu,ingekuwa mimi ni diamond nisingefungua domo langu hovyo hovyo!Huo uzi Zari anaonekana akajitia dildo,sasa sijui bitch ni nani kati ya zari na whorever aliyemkusudia ujumbe huo umfikie!
 
Ni Zari huyo kaandika, kwanza Diamond huko Twitter huwa anapost sana sana kazi zake. Daimond angekuwa yeye angeandika insta.
Huo ni mwandiko wa zari kabisa.
hahahahahaha..
kweli kabisa,mwandiko wa mama wa5 huuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…