Hata Mondi Mkuu. Ilifichwafichwa tu.Aliyeitwa ni romy jones sio mond
Kwamba diamond ana majukumu kumshinda Elon musk au Zuckerberg? Kwamba siku hizi ukiwa na majukumu mengi ndio unachakaa?Mafanikio, utajiri na umaarufu ndani na nje ya mipaka ya Tz imejenga chuki kubwa sana kwa mahasimu wake.
Huyo Mange na washirika wake kama Ali kiba, Harmonize, Hamisa wote wameungana kuichafua brand ya Diamond hili wajikuze wao. Mfano katika kila dongo la Mange kwa Diamond utakuta kuna mstari unasema, " wewe huna lolote umemzd Harmonize kimuziki tu hila Harmonize ana dude kubwa kuliko ww".
Mfano mwingine Harmonize na Hamisa wakaungana wakidhani wanamkomoa Diamond, shida ikaja mzee wa opportunity akatembea na kiki ya hamisa, sasa hv hamisa anajuta kwann alikutana.
Sasa madai yako khsu madawa ya kulevya mbona side effects hazionekani? Ata kuja mtu na akili ndogo ata akwambia sasa hv Diamond hapendezi, anasuk rasta, anaimba matusi hawezi tena kutunga. Hoja ambazo zinadhihirisha udogo wa akili zao, Diamond sio tena msanii wa Tz tu.
Wasanii wote waliobaki wanaimba kwa ajili ya Tz tu ila sio Diamond maana anasikilizwa takriban Africa nzima.
Harmonize, Ali kiba, Rayvanny hawa wote label zimewashinda, sasa kwann wasinenepe?
Rejea majukumu ya Diamond km mkurugenzi na mwanamuziki, vp hayo majukumu ukiwapa Harmonize, Ali au Mange wataweza au hivyo vitu vitakufa. Diamond shows zake tu km za wasafi anapanda kuanzia saa 9 usiku, bado anakuwa na energy ya kutosha mwanzo mwisho je harmonize, Ali au Ray wanaweza hivyo? Safari zake jumlisha shows na majukumu yake, mfano mikakati ya kutengeneza mastaa km Zuchu na akatamba Africa, je kuna msanii anaweza hilo zaidi ya Diamond?
Kazi na majukumu yake km mkurugenzi wa WCB na wasafi media ndivyo vinamkondesha Diamond mengine hayo ni chuki tu. Duniani hakuna kazi ngumu km kusimamisha biashara na ukipima ss hv Diamond ni billionaire kwa kibongo je tunajua ni nguvu na akili kiasi gani amewekeza kufika hapo? Ukitaka kujua hilo kawaulize wafanya biashara mfano wa kariakoo ni ngumu kiasi gani kusimamisha biashara na kujenga jina kwenye biashara?
Na pia ujiulize kwann Tanzania hii, Diamond ndio ambassador pekee wa kampuni tofauti tofauti na wengine ni ma influencer tu ( tofauti ya ambassador na influencer) hapo ndio utajua jamaa anatumia akili kiasi gani kuwa hapo
My brother whats good ? I, personally understand Nasibu is a hustler and he has toiled to be where he is right now KUDOS TO HIM , but then if this dude is a take some of some additives, it won’t take long until everything will be revealed, somebody needs to school this dude on drugs and drug abuse, remember huyu mwamba hakusoma shule….Mafanikio, utajiri na umaarufu ndani na nje ya mipaka ya Tz imejenga chuki kubwa sana kwa mahasimu wake.
Huyo Mange na washirika wake kama Ali kiba, Harmonize, Hamisa wote wameungana kuichafua brand ya Diamond hili wajikuze wao. Mfano katika kila dongo la Mange kwa Diamond utakuta kuna mstari unasema, " wewe huna lolote umemzd Harmonize kimuziki tu hila Harmonize ana dude kubwa kuliko ww".
Mfano mwingine Harmonize na Hamisa wakaungana wakidhani wanamkomoa Diamond, shida ikaja mzee wa opportunity akatembea na kiki ya hamisa, sasa hv hamisa anajuta kwann alikutana.
Sasa madai yako khsu madawa ya kulevya mbona side effects hazionekani? Ata kuja mtu na akili ndogo ata akwambia sasa hv Diamond hapendezi, anasuk rasta, anaimba matusi hawezi tena kutunga. Hoja ambazo zinadhihirisha udogo wa akili zao, Diamond sio tena msanii wa Tz tu.
Wasanii wote waliobaki wanaimba kwa ajili ya Tz tu ila sio Diamond maana anasikilizwa takriban Africa nzima.
Harmonize, Ali kiba, Rayvanny hawa wote label zimewashinda, sasa kwann wasinenepe?
Rejea majukumu ya Diamond km mkurugenzi na mwanamuziki, vp hayo majukumu ukiwapa Harmonize, Ali au Mange wataweza au hivyo vitu vitakufa. Diamond shows zake tu km za wasafi anapanda kuanzia saa 9 usiku, bado anakuwa na energy ya kutosha mwanzo mwisho je harmonize, Ali au Ray wanaweza hivyo? Safari zake jumlisha shows na majukumu yake, mfano mikakati ya kutengeneza mastaa km Zuchu na akatamba Africa, je kuna msanii anaweza hilo zaidi ya Diamond?
Kazi na majukumu yake km mkurugenzi wa WCB na wasafi media ndivyo vinamkondesha Diamond mengine hayo ni chuki tu. Duniani hakuna kazi ngumu km kusimamisha biashara na ukipima ss hv Diamond ni billionaire kwa kibongo je tunajua ni nguvu na akili kiasi gani amewekeza kufika hapo? Ukitaka kujua hilo kawaulize wafanya biashara mfano wa kariakoo ni ngumu kiasi gani kusimamisha biashara na kujenga jina kwenye biashara?
Na pia ujiulize kwann Tanzania hii, Diamond ndio ambassador pekee wa kampuni tofauti tofauti na wengine ni ma influencer tu ( tofauti ya ambassador na influencer) hapo ndio utajua jamaa anatumia akili kiasi gani kuwa hapo
Babaake kamkana mazima wakiongozana na Mamaake kumkataa na wakasingizia Baba mwingine kabisa na akapewa na kaka fake eti ndo walizaliwa pamoja.wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?
Hujanielewa bado!Kwa hiyo hata MO naye anatumia unga kwa kuwa ni bilionea?
Nakumbuka hata kipindi zinaanza tetesi za chid benz kubwia unga …bado wengi tulikuwa hatuwezi kuamini halafu jamaa alikuwa anatoa hit kila mara na ana mwili kweli kweli na wengi tulikuwa tunasema ni wivu tuu lakini baada ya muda kila mtu amekuwa shahidi!Umetimiza wajibu wako kama katiba ya nchi inavyosema,yakitokea ndo watafukua nyuzi kama hizi na kusema "yalisemwa haya".waliojirani wamshauri huyu dogo,mabadiliko physically yanaonekana
Chochote ukizidisha kina madhara. Hata maji yana madhara. Zingatia vipimo.Whitney Houston Hadi anakufa alikuwa na utajiri wa Dola milion 20 Hela ninayoamini hata diamond Hana. Ila alikuwa Teja na unga ukamuondoa.
Unadhani Whitney Houston alikuwa anakosa unga mweupe?
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Exposure aliyonayo Diamond kupitia mafanikio yake kimuziki na biashara shule yako ata Mara 10,000 haingii kwake. Simply Tz hii katika upande wa burudani especially bongo fleva hakuna mtu wa kumkalisha chini Diamond et amfundishe kazi.My brother whats good ? I, personally understand Nasibu is a hustler and he has toiled to be where he is right now KUDOS TO HIM , but then if this dude is a take some of some additives, it won’t take long until everything will be revealed, somebody needs to school this dude on drugs and drug abuse, remember huyu mwamba hakusoma shule….
Mapenzi Upofu.....Mafanikio, utajiri na umaarufu ndani na nje ya mipaka ya Tz imejenga chuki kubwa sana kwa mahasimu wake.
Huyo Mange na washirika wake kama Ali kiba, Harmonize, Hamisa wote wameungana kuichafua brand ya Diamond hili wajikuze wao. Mfano katika kila dongo la Mange kwa Diamond utakuta kuna mstari unasema, " wewe huna lolote umemzd Harmonize kimuziki tu hila Harmonize ana dude kubwa kuliko ww".
Mfano mwingine Harmonize na Hamisa wakaungana wakidhani wanamkomoa Diamond, shida ikaja mzee wa opportunity akatembea na kiki ya hamisa, sasa hv hamisa anajuta kwann alikutana.
Sasa madai yako khsu madawa ya kulevya mbona side effects hazionekani? Ata kuja mtu na akili ndogo ata akwambia sasa hv Diamond hapendezi, anasuk rasta, anaimba matusi hawezi tena kutunga. Hoja ambazo zinadhihirisha udogo wa akili zao, Diamond sio tena msanii wa Tz tu.
Wasanii wote waliobaki wanaimba kwa ajili ya Tz tu ila sio Diamond maana anasikilizwa takriban Africa nzima.
Harmonize, Ali kiba, Rayvanny hawa wote label zimewashinda, sasa kwann wasinenepe?
Rejea majukumu ya Diamond km mkurugenzi na mwanamuziki, vp hayo majukumu ukiwapa Harmonize, Ali au Mange wataweza au hivyo vitu vitakufa. Diamond shows zake tu km za wasafi anapanda kuanzia saa 9 usiku, bado anakuwa na energy ya kutosha mwanzo mwisho je harmonize, Ali au Ray wanaweza hivyo? Safari zake jumlisha shows na majukumu yake, mfano mikakati ya kutengeneza mastaa km Zuchu na akatamba Africa, je kuna msanii anaweza hilo zaidi ya Diamond?
Kazi na majukumu yake km mkurugenzi wa WCB na wasafi media ndivyo vinamkondesha Diamond mengine hayo ni chuki tu. Duniani hakuna kazi ngumu km kusimamisha biashara na ukipima ss hv Diamond ni billionaire kwa kibongo je tunajua ni nguvu na akili kiasi gani amewekeza kufika hapo? Ukitaka kujua hilo kawaulize wafanya biashara mfano wa kariakoo ni ngumu kiasi gani kusimamisha biashara na kujenga jina kwenye biashara?
Na pia ujiulize kwann Tanzania hii, Diamond ndio ambassador pekee wa kampuni tofauti tofauti na wengine ni ma influencer tu ( tofauti ya ambassador na influencer) hapo ndio utajua jamaa anatumia akili kiasi gani kuwa hapo
Sasa Diamond amechakaa? Em kuwa kiakili nyie ndo huwa mnasema Ommy Dimpoz anajua kuvaa kisa anavaa suti, guys mtu yyte yule akivaa suti anapendeza.Kwamba diamond ana majukumu kumshinda Elon musk au Zuckerberg? Kwamba siku hizi ukiwa na majukumu mengi ndio unachakaa?
Muda ni mwalimu mzuri sana. Hata chid benzi kipindi anaanza poda zilianza tetesi hivi hivi. Hata q chief zilianza tetesi. Na zote zilipingwa ila Leo tunajua wote ni mateja.
Bila kusahau ray C na lord eyes.
Muda ni mwalimu mzuri kama kweli anatumia au hatumii.
Uzi utakuja kufunuliwa
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Utaongea hivyo km hutowaza nje ya boksi, Diamond ni mwanamuziki tena namba 1 na lazima aweke juhudi ya kumaintain hiyo status yake na pia ni mfanyabiashara mkubwa.Mapenzi Upofu.....
Haya yako wewe ni Mahaba.
Kwenda rehab na kuacha ni mchakatoo mkuuNa wakitoka rehab wanarudia
We unaona umefikiria Nje ya box?Utaongea hivyo km hutowaza nje ya boksi, Diamond ni mwanamuziki tena namba 1 na lazima aweke juhudi ya kumaintain hiyo status yake na pia ni mfanyabiashara mkubwa.