mushkhan moshi
Member
- Oct 4, 2016
- 49
- 81
Katika jamii yoyote upendo hujengwa kwa kuanza na misingi
Licha ya kuwa watu mbali mbali hasaa mitandaoni kuibuka na kuungana kwa kuonesha chuki za wazi juu ya msanii Diamond platnamz .Bado wameshindwa kwa maana Diamond tayari alisha jenga misingi na anapendwa na watu wengi
Katika kuthibisha hilo ripoti ya mtaani inaonesha kwanza wimbo wa zilipendwa unapendwa zaidi na kupigwa kuliko nyimbo yoyote tanzania
Mashabiko mbali mbali bila hata promo wameonekana wakiucheza wimbo huo katika style ya comedy zaidi huku wengine wakisimama barbarani wakimtaja diamond na kumpongeza
Sent using Jamii Forums mobile app