Diamond Platnumz hiki nini sasa?

Diamond Platnumz hiki nini sasa?

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Wakuu hata kama ndio fashuuun au sijui kwenda na wakati hii imepitiliza, unasuka MAPEMBE kweli bro! Au ndio externalization ya yale mambo yenu ya freemasonry? Anyways kila mtu na maisha yake. KWANI HII DUNIA NI YETU!?

Captureee.PNG
 
Wakuu hata kama ndio fashuuun au sijui kwenda na wakati hii imepitiliza, unasuka MAPEMBE kweli bro! Au ndio externalization ya yale mambo yenu ya freemasonry? Anyways kila mtu na maisha yake. KWANI HII DUNIA NI YETU!?

View attachment 1758836

Tunaweza kuuhusisha na ushetani tukiweka kiimani. [emoji869] Ile ishara ya pembe nbili za shetani
 
Duuuh asubuhi yote hii unaanza kuandika upumbavu?
Kunywa chai kwanza
Mbona na wewe asubuhi yotee hii unajawa povu, kunywa chai kwanza bas mkuu...
 
Nasikia ana kitengo huyo siku hizi,,kwenye freemason...ndo maana siku hizi ata kwenye video zake unaona anaweka vitu havieleweki,,mara ghost face,,mara nyoka...na nasikia ofisini kwake ana fuvu la dhahabu kaliweka mezani
 
Wakuu hata kama ndio fashuuun au sijui kwenda na wakati hii imepitiliza, unasuka MAPEMBE kweli bro! Au ndio externalization ya yale mambo yenu ya freemasonry? Anyways kila mtu na maisha yake. KWANI HII DUNIA NI YETU!?

View attachment 1758836
Sasa wale wa maadili wapo wapi? Angekuwa kaelimika mfano mpaka ngazi ya Udhamili (Master's), sidhani kama angefanya hivyo. Hiyo style wanawake wanaiita 'mabutu'.
 
Wakuu hata kama ndio fashuuun au sijui kwenda na wakati hii imepitiliza, unasuka MAPEMBE kweli bro! Au ndio externalization ya yale mambo yenu ya freemasonry? Anyways kila mtu na maisha yake. KWANI HII DUNIA NI YETU!?

View attachment 1758836
Wakati ukihangaika 'Kumnanga' hivi kwa Chuki ( Husuda ) zako za Wivu wa 'Kiuswahili' Mwenzako mpaka sasa huko Benki katika Akaunti yake anaelekea kuwa na Bilioni Nne, ila sina uhakika kama Wewe katika Simu yako na Akaunti yako Benki una hata tu Tsh 10,000/=

Sasa kama kumbe unajua Msanii Diamond Platinumz sijui ni Freemason na Mshirikina mno hadi wengine mnasema sijui 'anamtia' na Mama yake Mzazi kwani hawa Freemasons si wapo mkajiunge nao?

Mama zenu si mnao 'tianeni' nao ili nanyi 'mtusue' kama Yeye au 'Utajiri' nanyi hamuutaki? Wapuuzi wakubwa nyie!!

Kuna Vitu 'vinaboa' na havivumiliki pia.
 
Humu mondi hasemwi anaeruhusiwa kusemwa mjomba WA ntwara tu
 
Wakati ukihangaika 'Kumnanga' hivi kwa Chuki ( Husuda ) zako za Wivu wa 'Kiuswahili' Mwenzako mpaka sasa huko Benki katika Akaunti yake anaelekea kuwa na Bilioni Nne, ila sina uhakika kama Wewe katika Simu yako na Akaunti yako Benki una hata tu Tsh 10,000/=

Sasa kama kumbe unajua Msanii Diamond Platinumz sijui ni Freemason na Mshirikina mno hadi wengine mnasema sijui 'anamtia' na Mama yake Mzazi kwani hawa Freemasons si wapo mkajiunge nao?

Mama zenu si mnao 'tianeni' nao ili nanyi 'mtusue' kama Yeye au 'Utajiri' nanyi hamuutaki? Wapuuzi wakubwa nyie!!

Kuna Vitu 'vinaboa' na havivumiliki pia.
kwani bwana wewe ile id yako nyingine ina tatizo gani??
 
kwani bwana wewe ile id yako nyingine ina tatizo gani??
ID yangu nyingine ilikuwa ni ya All - Rounder ambayo nilishatoa Maelezo hapa hapa ya kwanini niliibadilisha na sasa Kujiita Generalist hivi.

Hiyo ID uisemayo sihusiki nayo kabisa.
 
Back
Top Bottom