Haiwezekani kuwa tajiri wa Dunia kutokea nchi za Dania ya tatu.Neverπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Determination ya ubilionea ni ukubwa wa uchumi wa nchi unayotokea, ukubwa wa uwekezaji wako maeneo mbalimbali duniani, ukubwa wa mitaji yako kwenye uwekezaji kwenye masoko ya hisa, umiliki wa hisa zako kwenye mitaji ya makampuni mbalimbali
Hats matajiri 1000 bongo hayupo wanachanganya mwanamuziki tajiri na matajiri wenyewe kina Mo,bakhresa n.kMambo mengine mnaandika kushekesha ama?,hata Top 100 ya Matajairi wa hapa hapa Tanzania huyo Diamond hawezi kuwemo ndio isitoshe ubilionea wa Dunia???
Ivi kuna watu special kwa ajili ya kua matajiri ie utrilionea m kwanza sijui ntapaa maana sasa ntakua nmebakiza niniπππ.Ana watoto zaidi ya 10 kweli watoto ni baraka mpka kawa trilionea π₯
Domo anafurahisha tu wasikilizaji wake wasiokuwa na akili timamu.
Mtu mjinga kama huyu unashangaa kafikaje Australia,Ndoto ya Diamond kuwa Tajiri namba moja Duniani inazidi kuwa ngumu kila uchwao, Elon Musk anaendelea kuchanja Mbuga na sasaivi anaelekea kwenye Utrilionea.
Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria π¦πΉ
Soma Pia: Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu