Diamond Platnumz kutumbuiza katika Hafla ya Ugawaji Tuzo za CAF, Desemba 16 Morocco

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Msanii nyota wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, anatarajiwa kutumbuiza katika hafla ya ugawaji tuzo za Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) itakayofanyika Desemba 16 kama Headliner

Pia, Soma: Simba na Yanga zang’ara kwenye Tuzo za CAF, Zawania Klabu Bora ya Mwaka 2024

Hafla hiyo ya kifahari itawakutanisha mastaa wa soka, viongozi wa michezo, na wageni mashuhuri kutoka Afrika na kwingineko, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea mafanikio ya wachezaji na timu bora kwa mwaka 2024.


Your browser is not able to display this video.
 
Eti willy paul anataka kumpiku simba,mjinga kweli
 
cc Wakenya na ile kiporo yao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Swadakta. Utasikia kinyesi kinachojiita CHAWA kinasema mama anaupiga mwingi
 
Atakwenda peke yake au na mumewe mpya P. Diddy?
 
komasava
Yope

ndio nyimbo zake anazopendelea kuperform mbele ya hadhira
hata mm nashangaaga sana wasanii wetu kuimba nyimbo zao za kutiana nyege ambazo hazina uhusiano na tukio..kwani hawawezi kutunga na kuimba wimbo maalum utakaoendana na tukio husika la mchezo wa soka.?
 

View: https://youtu.be/aHzJHbUgV_4?si=Ma5CYRS_CRpfPIZy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…