crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Msanii Diamond Platnumz yupo nchini Kenya na anatarajiwa kutumbuiza katika mkutano wa mwisho wa kampeni wa azimio la umoja wa Raila Odinga.
Source:bbc swahili
Hana impact yoyote nje ya mipaka ya nchi, akiweka right strategies hasa kwenye soko la nje ana nafasi ya kuweza kupenya kwenye soko hilo la nje.Kouh kouh kouhh!! Jesshiii....liko wapi!??
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Zari anaifaidi hio hela kwa pigo la birthday ya tiffa.
Kouh kouh kouhh!! Jesshiii....liko wapi!??
Ananusana kwapa na mashuzi na demu wake gymKouh kouh kouhh!! Jesshiii....liko wapi!??
Yupo kwnye kilele ktk kazi yake ametishaaa ππShow moja ndani ya 30mins kachukua 190m,hapo bado kakodiwa private jet kwenda na kurudi ,South Africa,kakodiwa Chopa ya kumpeleka Kasarani Stadium na kumrudisha mpaka uwanja wa ndege.
Twitter kumechafuka wasanii wa Kenya wame maindi kishenzi.
Duh huo muda nadhani ata ndege haikuzimwa pale airport.Show moja ndani ya 30mins kachukua 190m,hapo bado kakodiwa private jet kwenda na kurudi ,South Africa,kakodiwa Chopa ya kumpeleka Kasarani Stadium na kumrudisha mpaka uwanja wa ndege.
Twitter kumechafuka wasanii wa Kenya wame maindi kishenzi.