Diamond Platnumz kuvutana shati na Wizkid, Davido kwenye MAYA Awards - 2016

Hahaa! Ndugu yangu msome Evelyn Salt post #5 & #7, ukimwelewa na mimi utanielewa tu!!! Lugha ya mama ni tamu CO2, manake unaipindua na kuifinyangafinyanga kadri unavyotaka!
OK,Sasa ninyi wamajabu kweli kweli-Ali alisema yeye mkubwa kuliko Trophy na Mziiki wake unasamani kuliko TuZo,Sasa uko Kill Musik Award-2016 atakuwa anaenda kutafuta nini? while anataka Tuzo.Mwambie asiwekwe kweny3 Kill Mwaka uu coz ya ukubaw wake.
 
ah ujui mashabiki wa kiba wanampigiaga kura davido
 
Huyu MTU kaanza mwaka vizuri

Kashinda tuzo tar 1

Still yupo nominated tuzo 4 tufauti, wacha zifurike state house mpaka aombe poo, na hata hivo bado zitakuja tu...!
 
Mwisho wa siku huyu jamaa tutakosa kabisa vya kumsifia,maana kila engo inayohusu mziki wake yupo vizuri...
 
Hahaahhahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…