Diamond Platnumz na Samatta nani ana mshiko mrefu?

Diamond Platnumz na Samatta nani ana mshiko mrefu?

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
 
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
Mwanaume mzima ndio mada unazoweza, tafuta zako
 
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
Duh mkuu unaongelea mafanikio ya watanzania wenzako ilo ni kosa kubwa kwa makapuku wa jf. Utaitwa shoga, chawa, mjinga etc

Umu utafurahisha watu ukisema nani kati ya samatta na diamond akafirisika soon
 
Duh mkuu unaongelea mafanikio ya watanzania wenzako ilo ni kosa kubwa kwa makapuku wa jf. Utaitwa shoga, chawa, mjinga etc

Umu utafurahisha watu ukisema nani kati ya samatta na diamond akafirisika soon
Ajabu sana...sikuwa hata na nia mbaya ya kuuliza ila naona watu wamepokea kitofauti...nilitaka kufahamu tu kwa kuwa humu jf ni sehemu ya kujifunza..
 
Ajabu sana...sikuwa hata na nia mbaya ya kuuliza ila naona watu wamepokea kitofauti...nilitaka kufahamu tu kwa kuwa humu jf ni sehemu ya kujifunza..
Unajufunza nini acha akili za kijuha ? Angalia nini kinachowafanya waonekane wako juu sio kuulizia utajiri na pesa zao.
 
Back
Top Bottom