Diamond Platnumz namba moja kwa kutazamwa YouTube Kenya

Diamond Platnumz namba moja kwa kutazamwa YouTube Kenya

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Nyota wa muziki kutoka Bongo, Diamond Platnumz, amethibitisha ukubwa wake katika tasnia ya muziki baada ya kutajwa kama msanii aliyeongoza kutazamwa zaidi kwenye mtandao wa YouTube nchini Kenya kwa mwaka 2024.

Kwa jumla ya watazamaji milioni 125, Diamond amewashinda wasanii wengine maarufu akiwemo Harmonize 85.6M na Rayvanny - 83.4M, akionyesha wazi kuwa ni msanii anayependwa zaidi na kufuatiliwa na Wakenya kutokana na jitihada zake za kila siku katika muziki.

Pia, Soma: Spotify yatangaza ngoma na wasanii wa Tanzania waliosikilizwa zaidi mwaka 2024. Marioo ashika usukani!

Hii hapa ni orodha kamili ya wasanii waliotazamwa zaidi YouTube nchini Kenya mwaka 2024:

1. Diamond Platnumz – 125M
2. Harmonize – 85.6M
3. Rayvanny – 83.4M
4. Israel Mbonyi – 75.4M
5. Zuchu – 73.6M
6. Mbosso – 56.1M
7. Guardian Angel – 55.5M
8. Jaymelody – 53.8M
9. Msanii Music Group – 47.4M
10. Ayra Starr – 46.9M
11. Alikiba – 46.7M
12. Otile Brown – 46.6M
1733920169866.png
 
Nyota wa muziki kutoka Bongo, Diamond Platnumz, amethibitisha ukubwa wake katika tasnia ya muziki baada ya kutajwa kama msanii aliyeongoza kutazamwa zaidi kwenye mtandao wa YouTube nchini Kenya kwa mwaka 2024.

Kwa jumla ya watazamaji milioni 125, Diamond amewashinda wasanii wengine maarufu akiwemo Harmonize 85.6M na Rayvanny - 83.4M, akionyesha wazi kuwa ni msanii anayependwa zaidi na kufuatiliwa na Wakenya kutokana na jitihada zake za kila siku katika muziki.

Hii hapa ni orodha kamili ya wasanii waliotazamwa zaidi YouTube nchini Kenya mwaka 2024:

1. Diamond Platnumz – 125M
2. Harmonize – 85.6M
3. Rayvanny – 83.4M
4. Israel Mbonyi – 75.4M
5. Zuchu – 73.6M
6. Mbosso – 56.1M
7. Guardian Angel – 55.5M
8. Jaymelody – 53.8M
9. Msanii Music Group – 47.4M
10. Ayra Starr – 46.9M
11. Alikiba – 46.7M
12. Otile Brown – 46.6M
Sasa Willy Pozee yupo wapi hapo au mpaka Top 30?

Dah 😂 nacheka kama mazuri
 
Kwahiyo msanii maarufu kenya ni Diamond
 
Yule Wile sijui nani hata Otile Brown hamfikii ila kelele kibao.
 
Yule Wile sijui nani hata Otile Brown hamfikii ila kelele kibao.
Wasanii wengine wamekariri ili utoboe kimuziki lazima uingie kwenye mogogoro na kujibizana na mitandaoni, wanasahau kuwekeza kwenye career yao
 
Yule pakome wa Kenya sijui wile Paulo yeye hayupo?

Lazima atataka kuwapiga hao YouTube
 
Back
Top Bottom