I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
LADYLUV naongezea Ahadi nyingine alihaidi atamsainisha hamis wa bss mpaka leo ajafanya hivyo n.k Harmonize kiukwel uongo kazidisha.Bora huyo katika asilimia 100 anatimiza kwa asilimia 80 ila kuna huyu kondeboy aliwahi kuahidi atamtoa mtu dinner atakae weza kupatia kuhusu nyimbo na kipindi hicho ilikuwa bedroom na nyingine alitoa ahadi ni dili gani anaenda kutambulisha nakumbuka ilikuwa ishu ya kuwa ambassador alihadi laki 5 lakini hakutoa
Hashim Rungwe na CHAUMA yake wameiba ideaBora huyo katika asilimia 100 anatimiza kwa asilimia 80 ila kuna huyu kondeboy aliwahi kuahidi atamtoa mtu dinner atakae weza kupatia kuhusu nyimbo na kipindi hicho ilikuwa bedroom na nyingine alitoa ahadi ni dili gani anaenda kutambulisha nakumbuka ilikuwa ishu ya kuwa ambassador alihadi laki 5 lakini hakutoa
Msanii wetu SIMBA namkubali sana sasa tatizo lake anapenda kukurupuka sana pale mafuraha ya kutoka pasipojulikana yanapo mvaa na kutangaza ma- ahadi tele kila mahali online, na hata live Wasafi TV/Radio kuwa atatoa mara hiki mara kile kwa jamii. Na mara chache sana huvitimiza anavyosema ni kama 4/10 tu ya anachoongea inabidi tuamini.
Hivi ile ahadi ulioitoa miezi kadhaa nyuma ya kulipia kodi za nyumba kwa watu 500 ziliishia wapi?
Nakumbuka uliweza tu kutoa kodi kwa wajane, wazee na walemavu 57 kodi hizo. Na wengine 443 ilibidi wasahau jambo hilo.
Zuchu ana sura ngumu kama lamiZuchu ni Mboso wa kike.
sura yake inahusiana vipi na alichokiandika uliyemquote? Mbona binadam mnapenda dhambi zisizo za lazima?π€Zuchu ana sura ngumu kama lami
Nisamehe zuchu, ni wivu tusura yake inahusiana vipi na alichokiandika uliyemquote? Mbona binadam mnapenda dhambi zisizo za lazima?[emoji848]
Zuchu Mama ako!πNisamehe zuchu, ni wivu tu
Msamehe bure mtu akikosa hoja anakimbilia kutukanaZuchu Mama ako!π
Mzee baba sio tabia kabisa yakuanza kutukanana hiv ukitoa hoja bila kumtukana mtu unapungukiwa Nini?Si kweli.
Ila wewe ni zuchu
Wewe zuchu mdogo.Msamehe bure mtu akikosa hoja anakimbilia kutukana
Mzigo wa upumbavu umekuleemeaWewe zuchu mdogo.
Nani anamtukana mwenzake ?