Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
mbona unarukaruka hutaki kunijibu...we ushaolewa??Narudia, acha kujichekesha chekesha na kujiliza jiliza mitandaoni eti usaidiwe kupatiwa kazi, utaolewa dogo!!!
wewe unaesifia wanaume wenzio ulishaolewa???Una wivu wa kike wewe... ndo maana nimekuambia utaolewa!!!
Narudia, acha kulia lia mbele za wanaume, utaolewa dogo!!! And am telling you...it's a matter of time kabla sijakuibukia na ID nyingine kukuomba mambo!!wewe unaesifia wanaume wenzio ulishaolewa???
Ww ukizeeka lazima uwe mchawi si kwa chuki hiyo kwa mtoto wa mwingineVipi hajatangaza utaratibu wa kuwalipia kodi, mi nkajua interview ilikua ya kutangaza utaratibu kama ilivyosemwa,.
Sasa mbona habari Kubwa imekua ni Ya Hotel na Gari, Alafu misukuale yake Inashangilia, Kasema kamaliza tofauti yake na Mzazi mwenzake hapa misukule Imenuna, Jana misukule ilishupaza shingo kumchamba zari jamaa kapiga simu kajishusha wayamalize..
Mambo ya Kununua Magari na mahotel yanatuhusu nini Misifa tu na kutafuta kutrend, Babako analala nyumba ya tope we unatangaza kununua Mahotel, pimbiz na kengez zinashangalia na kufurai wakati hata baisker hazina
alafu Cha ajabu Ni mwanaumeWw ukizeeka lazima uwe mchawi si kwa chuki hiyo kwa mtoto wa mwingine
unataka nikuoe???Narudia, acha kulia lia mbele za wanaume, utaolewa dogo!!! And am telling you...it's a matter of time kabla sijakuibukia na ID nyingine kukuomba mambo!!
wewe umeolewa??Narudia, utaolewa dogo!!
we ushaolewa??Narudia, acha kujiliza jiliza mitandaoni, utaolewa!!!
we huyo mwanaume unayemsifia ashakuoa???Narudia, acha kujilizajiliza... utaolewa!! Mwenzako sina njaa za kulia lia mitandaoni...
Duuuhhh...ata anaunsimenti!!!.Amenunua Jana tu na amesema Kuna mambo atayabadilisha ndipo ata announcement rasmi kutumika
Moja ya watu ambao walinifanya niipende jamii forums ni ww ndugu ila sijui kama hii leo ni ww au mana nimeshazoea madini kutoka kwako na sio ubishani usio na fact kama unavyofanya kwa huyo jamaa ndugu chige huwa naamini uwezo wako sema ndio hivyo tena ushabiki tuNa watu kama hao asili yao ni roho mbaya... hawataki kuona mtu anafanikiwa, na wakiona mtu anafanikiwa badala ya kuwa inspired, wanageuka kuwa haters... VERY STUPID!
Yaani mtu badala ya kuwa inspired kwamba ngoja nami ni-hustle, ndo kwanza "mwongo yule" , "sio vyake vile", "hana hela yule"
we huyo mwanaume unayemsifia ashakuoa???Acha kujiliza liza mitandaoni, utaolewa!
Ungefutilia tangia mwanzo, ungegundua kisa cha jamaa kuanza maneno machafu ni kwavile tu nimemuuliza "how come mtu mwenye 45% unasema ana-fake!!Moja ya watu ambao walinifanya niipende jamii forums ni ww ndugu ila sijui kama hii leo ni ww au mana nimeshazoea madini kutoka kwako na sio ubishani usio na fact kama unavyofanya kwa huyo jamaa ndugu chige huwa naamini uwezo wako sema ndio hivyo tena ushabiki tu
Kamsilimisha bint halafu kamwacha? Huyu si yupo karibu na Shekh wa mkoa wa Dar? Niishie hapoNimeona kwenye page ya wasafitv na radio jamaa anasema Tanasha alibadili dili mwaka jana kwenye ile concert yake ya miaka kumi kigoma, kilichonishangaza anasema yeye alishindwa kumshawishi binti kubadili dini akampa kazi iyo Ricardo momo na kumuahidi kumpatia kiwanja endapo angefanikisha,
Momo akafanikisha kumshawishi hatimae binti akawa muislamu.....kilichonishangaza ni Momo ana nguvu kubwa kwa Tanasha kuliko Mond kupelekea kusikilizwa yeye kuliko muhusika!!!!?
rukaruka but sikuachi leo mpaka unijibu swali langu...huyo mwanaume unayemsifia ashakuoa tayari???...maana tangu aachane na tanasha bado hatujamsikia demu wake mpya..huyo demu wake mpya ndo wewe???Ungefutilia tangia mwanzo, ungegundua kisa cha jamaa kuanza maneno machafu ni kwavile tu nimemuuliza "how come mtu mwenye 45% unasema ana-fake!!
Unfortunately, huwa sipendi kuigiza ili watu wanione muungwana! Mtu akijifanya fyatu, naendana nae hivyo hivyo!!
Ata announce badala ya announcement mzee nimechapia si unajua masuala ya type error
Nimeona ila sikufikilia kama mtafikia huku kwa sababu huwa naamini uwezo wako wa kufikiriUngefutilia tangia mwanzo, ungegundua kisa cha jamaa kuanza maneno machafu ni kwavile tu nimemuuliza "how come mtu mwenye 45% unasema ana-fake!!
Unfortunately, huwa sipendi kuigiza ili watu wanione muungwana! Mtu akijifanya fyatu, naendana nae hivyo hivyo!!
we huyo mwanaume unayemsifia ashakuoa???Acha kulia lilia mitandaoni, utaolewa!!!
we huyo mwanaume unayemsifia ashakuoa???Acha kujiliza jiliza mitandaoni, utaolewa dogo....