Ww unasubiri kuletewa!Dai namuelewa sana kwa kutafuta pesa asee!
Msimu umeanza twenzetu Mtwara tukaokote korosho wewe168 likes
diamondplatnumz
CAMEROON!!! CAMEROON!!! See you Nov 22nd & Nov 23rd for my Double V.I P Shows πΈππΈ
MY CURRENT TOUR SCHEDULE:- Canada Toronto 11th October
Canada Vancouver 12th October
Canada Edmonton 13th October
Canada Montreal 14th October
Tanzania Dar-es-salaam 19th October
Guinea Conakry 2nd November
One Africa 15th November Dubai
Douala Cameroon 22nd November
Douala Cameroon 23rd November
Sierra Leone Free Town 30th November
Guinea Bissau 7th December
Kwa sababu hataki watu waingie maana itakuwa ni kiki.Ali kiba pia ana shows nyingi sana ila hajionyeshi
Vipi show za Toronto na New York anaanza lini?Mbona king kiba anapiga show nyingi sana sema jamaa hapendi show off.
Ana ziara za tigo fiesta, ana show nanjilinji, ana show malinyi, ana show kigoma n.k maeneo kibao. Sema jamaa hapendi show off kama domo.
aliitwa sema akakataa coz jamaa hapendi show off ratiba yake imebana aliwaambia hivyo king Kiba.Vipi show za Toronto na New York anaanza lini?
Hivi Dai ndio kifupi cha Diamond? Mtu akisema Dai namkumbuka yule dada tunda anapenda sana kuita Dai.Dai namuelewa sana kwa kutafuta pesa asee!
π€£aliitwa sema akakataa coz jamaa hapendi show off ratiba yake imebana aliwaambia hivyo king Kiba.
Aah aah aah!Mbona king kiba anapiga show nyingi sana sema jamaa hapendi show off.
Ana ziara za tigo fiesta, ana show nanjilinji, ana show malinyi, ana show kigoma n.k maeneo kibao. Sema jamaa hapendi show off kama domo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sababu hataki watu waingie maana itakuwa ni kiki.
Anaimba na mke wake AminaAli kiba pia ana shows nyingi sana ila hajionyeshi