Diamond Platnumz ukikubali lazima upotee kwenye GAME

Diamond Platnumz ukikubali lazima upotee kwenye GAME

SUNGURA-MJANJA

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
200
Reaction score
33
Mwaka 2010 CCM walimtumia msanii MALLOW mzee wa bembeleza aliyekuwa hot kwa wakati huo kwenye kampeni za uchaguzi,baada ya uchaguzi jamaa kapotea kabisa kwenye game kwa sababu watz 70% chama hiki wamekichoka..ni ushauri tu

S3z
 
Hakna jambo kama hilo marlwa kapotea kama qchief au mb dog alivyopotea.juhudi na kazi nzuri ndizo zitakazoamua kubakia kwako.
 
walitumia wasanii wengi akiwemo akina nature, temba madee na wengine wengi tu.
Marlow kapotea kimpango wake tu kama walivyopotea wengine
 
Hakna jambo kama hilo marlwa kapotea kama qchief au mb dog alivyopotea.juhudi na kazi nzuri ndizo zitakazoamua kubakia kwako.

Ukinitajia Q Chief najisikia kulia...Jamaa kapotea kiajabu sana....
He was so social...yani ile ukimkuta kitaa unaweza bisha sio msanii mkubwa vile...ila ndo hivyo mijimama na ngada zikampoteza....
 
Huyo Domo mwenyewe pia alitumika na ccm mwaka 2010
 
Cha msingi wakimhitaji akafanye kazi kama biashara siyo kama kada
 
Back
Top Bottom