SUNGURA-MJANJA
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 200
- 33
Mwaka 2010 CCM walimtumia msanii MALLOW mzee wa bembeleza aliyekuwa hot kwa wakati huo kwenye kampeni za uchaguzi,baada ya uchaguzi jamaa kapotea kabisa kwenye game kwa sababu watz 70% chama hiki wamekichoka..ni ushauri tu
S3z
S3z