Kwenye show ya koffi mliman city alisema yy mwenyewe kuwa kwa east Africa meneja Wake ni kusaga na kama mtu anamwitaji yy Kuja east Africa lazima acontact na kusagaLakini aliulizwa diamond kwenye interview yake akiwa na koffi akadai management yake (Salam )ndo imehusika kwa kila kitu, na koffie mwenyewe alithibitisha. Hizo tabia za kujiongeza kwenye kila kitu uache mkuu๐๐.
Kwamba koffie hawezi kufanya collabo na mond mpka KUSAGA aruhusu au๐ค?
Basi ndohivyo Salam(meneja wa mond) ndie aliehusika juu ya swala la koffi kuja bongo.Kwenye show ya koffi mliman city alisema yy mwenyewe kuwa kwa east Africa meneja Wake ni kusaga na kama mtu anamwitaji yy Kuja east Africa lazima acontact na kusaga
Wapi nimesema kusaga kamletaJamaa hp4510 anakwambia koffi ameletwa na kusaga๐๐.
Hahaa kimjini mjini iyo chief..wazee wakuwasabahi masingo mama watanielewa mara nyingi utakuta mtoto anaambiwa muamkie anko sasa ile anko anko kila siku jina linashikaHalafu sijui kwa nini anamuita uncle wakati anajifunika shuka moja na mama yake
acha kupangia watu maisha weweDiamond Platnumz kwenye hili limenisikitisha sana hapa namuona Diamond alikosa utu nakushindwa kutoa fair kwa Ruge hatakama walikuja kuwa naugomvi lakn Ruge alikua na mchango mkubwa sana kwa Diamond hapa alipofika leo kituchochote chenye mafanikio mwanzo huwa mgumu sana ikumbukwe bila CLOUDS Media Diamond huwenda asingefika hapa alipofika sasa.