Sijakuelewa.unafahamu vizuri na kuyaelewa mambo pale chuoni kwenu lakini kila siku sup unakunywa hadi kufikia hatua ya kutaka ku disco....
huko kijijini kwenu watakuelewaje?
HUSSEIN MACHOZI keshastaafu muzikiNaskia Hussein machozi anataka kufungua kesi baada ya kupeleka malalamiko yake basata na kupewa Go AHEAD..
....
Sawa....
Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika swala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.
Kwa kweli nimemweshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond
Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.
1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.
2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshma kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itastishwa gafla na huyu kijana.Believe me or not
Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.
Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING sana kwake.
Kwanza hata hawajui wanawashindanishia nini,kweli hili ni bifu la kutengenezwa halafu watu wamedandia tu.hizi competition za nini jamani????? diamond akishuka chini iweje labda?? kila mmoja anafanya muziki kwa jinsi alivyojaliwa kipaji ili kuburudisha watu na kupata hela. huu wivu wa kijinga sijui unatoka wapi.
Hata Nikki mbishi alisema ivo ivo... NJAA MBAYA SANAHUSSEIN MACHOZI keshastaafu muziki
Huwa najiuliza sana juu ya hawa wenye mahaba kwa kiba kuliko kidoti! Hivi wanapomlinganisha na Diamond huwa wanatumia vigezo gani?Mkuu umeonyesha uwezo mkubwa wa tafakuri
Yooote haya ni kumuonea WIVU DIAMOND PLATINUM! Endelea kujidanganya bros, Diamond uko level nyingine!Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika swala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.
Kwa kweli nimemweshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond
Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.
1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.
2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshma kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itastishwa gafla na huyu kijana.Believe me or not
Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.
Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING sana kwake.
Ukawa, Kiba mbona vitu unavyoshabikia huwa havishindi?Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika swala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.
Kwa kweli nimemweshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond
Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.
1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.
2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshma kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itastishwa gafla na huyu kijana.Believe me or not
Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.
Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING sana kwake.
bradha...Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika swala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.
Kwa kweli nimemweshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond
Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.
1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.
2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshma kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itastishwa gafla na huyu kijana.Believe me or not
Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.
Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING sana kwake.
ndugu yangu...Nimefurahi sana tangazo la voda limewekwa kwenye ads za Youtube, hahahahahaha sipati picha team matusi anapokutana nayo afu zile sekunde tano anaweza akaona kama mwezi hivii hahahaha
Vodacom wababe sana hahahaha
unataka kunambia umefanya uchambuzi bila kulifahamu hilo jambo..!?Dah..Kumbe ka copy,Kama ni hivyo si nyongeza.