Asante,na hiyo avatar mie burudaaani!Kumfananisha Ali Kiba na diamond ni kumdhalilisha King Kiba,ni sawa na kumpambanisha Lusinde na Tundu Lissu
Huwa najiuliza sana juu ya hawa wenye mahaba kwa kiba kuliko kidoti! Hivi wanapomlinganisha na Diamond huwa wanatumia vigezo gani?
Tuzo za kimataifa?
Mziki kupigwa nchi nyingi?
Umaarufu nje na ndani ya Africa?
Kupiga show nyingi?
Kumiliki pesa nyingi?
Mziki kusikilizwa sana?
Kutawala media?
Au wanalinganisha nini mpaka wajidhalilishe hivi! Maana msanii mkubwa wa karne hii lazima awe na vigezo hivyo zaidi ya hapo rabda awe anawaimbia tembo
mwisho wa siku umeona uishie tu kuburudika na Avatar ya mdau,baada ya kuona alichokiandika ni pumba na ni irrelevant or it is vice versa!Asante,na hiyo avatar mie burudaaani!
Na Diamond nae level yake nani?Level yake sawa na best nasso
wizkid,davido,kcee,iyanya...........Na Diamond nae level yake nani?
Kwa vigezo vp?wizkid,davido,kcee,iyanya...........
mafanikio kimziki...Kwa vigezo vp?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]'harudi' au arudi?
Tena bora usiwe unaandika manake inaonekana hili eneo hujalifuatilia vizuri na hivyo kukosa taarifa muhimu! Yaani Kiba huyu huyu anayelialia kwenye media kwamba kuna watu wanahonga pesa ili nyimbo zake zisichezwe na TV kubwa za nje na asipate tuzo lakini bado unatarajia atakuwa na ubavu wa kuufikisha wimbo kwenye club kubwa za Afrika not mentioning zile za Ulaya?! By the way, shule unayoizungumzia wewe kwamba Diamond aende ni shule ipi hasa ambayo Ali Kiba hana haja nayo? Na kwamba Diamond anahitaji kurudi shule kwa sababu tu UNAAMINI Lupela itabamba, au?!Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika suala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba.
Mafanikio kimziki ndiyo yapi?halafu hata hayo uliyoeleza yangefanana na Beyonce ndio tungesema Diamond ni level ya beyonce?mafanikio kimziki...
nyimbo kusikilizwa sana...
video kuangaliwa sana...
kubeba tuzo nyingi...
pesa...
show za kutosha ndani na nje ya mipaka ya TZ...
followers wengi kwenye mitandao ya kijamii...
mengine malizia mwenyewe..!
Duh wewe jamaa...Mafanikio kimziki ndiyo yapi?halafu hata hayo uliyoeleza yangefanana na Beyonce ndio tungesema Diamond ni level ya beyonce?
Mi sipo hapa kumshabikia Diamond wala Ali kiba.Duh wewe jamaa...
basi Ali Kiba ni mkali kushinda Diamond..!
Lakin haiimzuii kufungua kesi.HUSSEIN MACHOZI keshastaafu muziki
1.Lema ang'aka kuhusu Zanzibar, Amwambia Chenge asijione Mungu mdogoKwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika suala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba.
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.
Kwa kweli nimemeshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond
Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.
1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.
2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshima kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itasitishwa ghafla na huyu kijana.Believe me or not
Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.
Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING kwake.