Big up sana Platnumz,endelea kuwakimbiza...watabaki stk stk....stk my a$$!!!...
Unapiga mademu wa ukweli.....walisema opa opa sasa unasukuma Prado.....ata siku ukianika mjengo watakuja na la kusema tu....sunajua wana stress za maisha mnyamwezi..wengi shule kuuubwa lakini mpaka kesho akijaeleweka....wengine wamepiga boks mpaka wamekomaa sura bado hawajatimiza ndoto....we kiulaiiiini mtoto wa tandale mbona watakutaka!!!
Ebu wasepe uko na stress zao za kwa muhindi..
muheshimiwa naunga mkono hoja kwa asilimia mia tatu.Nahisi ulikuwa kicwani kwanguPumbavu............be unique bana unakimbilia gari za wanasiasa.........haya mastaa ya bongo yanakera kila siku magari yaleyale tuuu toyota...........fuc..fuc mimi sifagilii. Sasa tutatofautisheje gari la mnyika na gari la diamond. Aisee acheni ushamba... Nunua kigari chako muundo wa kipekee mpaka kiwe gumzo mjini hapa sas prado jina zeeeeeeeeeeeeeeeeee..........magari ya cccm hayo kaka
hicho ni kitendea kazi anahitaji kusafiri ni muhimu akijenga nyumba halafu akipanda opa mtasema. Mnataka mpaka mupangie na jinsi ya kutumia pesa zake.Hongera sana ni mafanikio, suala la kwamba ajenge kwanza hilo ni suala binafsi kila mtu ana kipaumbele chake mwacheni kijana aamue kwani hela anaitafuta mwenyewe, he deserve it.
Kakutuma au ndio wewe?mijanaume mingine bana!Diamond ana myumba 2 na ya tatu iko hatua za mwisho kukamilisha ni mwanamziki mwenye mafanikia nadhani kuliko wote na pia ana despline sana ya matumizi mbali na gari hiyo pia anamiliki range rover
Kakutuma au ndio wewe?mijanaume mingine bana!
Hongera zake dogo!
hongera zake! Lkn lady JD is still top kwa wale wanaodhani dogo ndo zaidi