pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
- Thread starter
-
- #21
Hahahaa mkuu nikweli aisee ila uyu mzee anatia mashaka na mitandaoni humu asilimia kubwa vijana atakutana na wavutabangi wamdhalilisheHuwezi amini mtu akiandika tusi mtandaoni huwa anajitambua kwamba sasa natukana kwenye comment hii nimkomeshe ingawa inaweza sababishwa na hasira, chuki na kisasi.
Muungwana akivuliwa nguo huchutama kutukanana kwenye mitandao sijambo jema hasa kwa watu wazima.Hahahaa mkuu nikweli aisee ila uyu mzee anatia mashaka na mitandaoni humu asilimia kubwa vijana atakutana na wavutabangi wamdhalilishe
NdioKuongelewa si ndo wanaita 'kick' siku hizi?
Ndio
Na bila kiki za namna hiyo wimbo hausongi
Waache watafute viewers youtube
HahahHuu mziki ushakuwa mgumu kama ndo hivyo...
sasa kina Msondo ngoma hata wapasue makoo....wataishia huku huku uswazi tu
WEWE HAUKO SAWA KICHWANI,TENA WEWE UTAKUWA NI CHIZI MTEMBEA UCHI. NIKUPE MFANO TU,NI WAPI ILIKOELEZWA MDOGO NDIO ANASTAHILI KUTUKANA ............NA NI WAPI ILIKOELEZWA KUWA MKUBWA HASTAHILI KUTUMIA MITANDAO ......... NA UNAJUA NI KIASI GANI ANANUFAIKA KWA YEYE KUWEPO KWENYE MITANDAO .........AU ILE SHERIA YA MITANDAO IMEWATENGANISHA KATI YA MDOGO NA MKUBWA ........... KWANINI USIWAHOJI WANAOANZA KUMTUKANA MTU "MZIMA",ILA UNASHANGAA YEYE KUWAJIBU .........NA KWANINI HAYO UNAYOYAITA "MATUSI" UMEYALETA HUKU ........... KWANINI USIFANYE MAMBO YAKO KUTWA UPO UNAKEREKWA NA KURASA ZA WATU WANAOKUBOA ................KWANI KUPATA AU KUKOSA TUZO SABABU NI HUYO MAMA.......... NA JE WIZKID ANAYEKOSA KILA SIKU NAYE NI NINI ........MBONA KIBA HATA KUWA NOMINIIZI HAWI JE,NAYE NI SABABU YA MAMA YAKE .........AU MBONA YEYE HUWA ANAKOSA JE, NA YEYE SABABU NI MAMA YAKE .....??Wana jamvi salaam,
Kwako mpendwa msanii wa kimataifa ambaye tunajivunia kutolewa kimasomaso katika kila unacho gusa iwe tunzo na uwakilishi wako pande zote za ulimwengu.
Diamond adui yako mkubwa wa kukushusha carrier yako kamwe hatakua alikiba wala msanii yoyote yule kwasababu ulipofikia ni ngumu kushushwa kizembe lakini maadui wako wakubwa ni, familia yako ikiongozwa na Mama yako bisandra na dada yako Esma
Ebu jaribu kufikiria kidogo wasanii wenzio wa ndani na nje ya nchi je wanahatarisha vibarua vyao kwa kuhusisha familia? Kwamfano huyo mama yako ni mtu mzima sana mpaka anawajukuu lakini kutwa kutukanana na watoto mitandaoni huoni inakushushia heshima wewe ulie wa kimataifa?
Diamond sio kwa ubaya lakini mtu mwenye hekima, ingewezekana mtoekabisa huyo mama yako kwenye mitandao ya kijamii upo katika kipindi cha kuomba kura kwa nomination mbalimbali unategemea nn kwa hao wanao shinda kutukanwa na mama yako je watanunua bando lao kukupigia kura
Team najua zipo na ndio zina michango mizuri tu kwa upigaji kura lakini uyo mama yako tunajua anakupenda sawa lakini kwa kujidharirisha huko mitandaoni kwa matusi ya ovyo ovyo ataishia kutukanwa pia na watoto wadogo sababu yeye ndo wakwanza kujivunjia heshima ,
Simama kama mwanaume ishu zako za kifamilia hakikisha hazifiki mitandaoni ikiwezekana mtoe uyo mzee mitandaoni ana kushushia heshima ivi kwa mfano rafiki zako kina flavor, davido, neyo hao hawana familia? Hawana dada? Au mama tafadhali jipange sawasawa kiume.sijagusia ya mganda kwasababu ni mwanamke jasiri anayejua anafanya nini kwa wakati gani.
Nawasilisha kwa mifano hiyo[emoji116][emoji116][emoji116]
MAMA LA MIAKA 50,KWANINI WEWE ULITUKANE ......??Mama La Miaka 50 linatukanana Na Watoto Wa miaka 20 ...
Si Atoke Kwenye Social Media ale Hela Za Mwanae.. Anajitafutia Stress Zisizo za maana
Jiwe gizaniMama Chibu uko sahihi kabisa,tena ikiwezekana kwenye bio yako weka boooooonge la "TUSI" kwa yeyote anayeenda kinyume na ulichokusudia KUANDIKA hilo "TUSI" LIMUHUSU. Kwani ni lazima wewe kuingia kwenye kurasa zao ............kawaandikia barua ..........kawatumia maombi kwenu ...........Ukiona anakukera mpotezee/usiingie kwenye kurasa yake na uone kama kesho atakutafuta .......... Unatuletea malalamiko yako huku kama FALA VILE ULIYELAZIMISHWA NA KATIBA YA NCHI NI LAZIMA UINGIE KWENYE PAGE YAKE/ZAO...........NA KUNA VICHAA WENZAKO WANAKUONA UMEONGEA LA MAANA. BADALA YAKUHOJI ULAZIMA WA WEWE KUINGIA HUKO,ILA YAPO YAKIMUONA HUYO MAMA HANA AKILI,LAKINI WAO WANAOINGIA KWENYE PAGE YAKE WANAJIONA WAZIMA,NA WANAMTUKANA HALAFU ETI YANATAKA YAJIBIWE KAMA DOCTOR ANAMJIBU MGONJWA WAKE MAJINGA KABISA. KAMA MAMA DIAMOND NI CHIZI BASI NYINYI MNAOFATILIA PAGE YAKE NI MACHIZI ZAIDI YAKE.
Kiroba kinafanyakazi ukikua utaachaWEWE HAUKO SAWA KICHWANI,TENA WEWE UTAKUWA NI CHIZI MTEMBEA UCHI. NIKUPE MFANO TU,NI WAPI ILIKOELEZWA MDOGO NDIO ANASTAHILI KUTUKANA ............NA NI WAPI ILIKOELEZWA KUWA MKUBWA HASTAHILI KUTUMIA MITANDAO ......... NA UNAJUA NI KIASI GANI ANANUFAIKA KWA YEYE KUWEPO KWENYE MITANDAO .........AU ILE SHERIA YA MITANDAO IMEWATENGANISHA KATI YA MDOGO NA MKUBWA ........... KWANINI USIWAHOJI WANAOANZA KUMTUKANA MTU "MZIMA",ILA UNASHANGAA YEYE KUWAJIBU .........NA KWANINI HAYO UNAYOYAITA "MATUSI" UMEYALETA HUKU ........... KWANINI USIFANYE MAMBO YAKO KUTWA UPO UNAKEREKWA NA KURASA ZA WATU WANAOKUBOA ................KWANI KUPATA AU KUKOSA TUZO SABABU NI HUYO MAMA.......... NA JE WIZKID ANAYEKOSA KILA SIKU NAYE NI NINI ........MBONA KIBA HATA KUWA NOMINIIZI HAWI JE,NAYE NI SABABU YA MAMA YAKE .........AU MBONA YEYE HUWA ANAKOSA JE, NA YEYE SABABU NI MAMA YAKE .....??
Bora niagize kiroba kingine,kama akili za hasiyekunywa viroba zipo hivo.Kiroba kinafanyakazi ukikua utaacha
Umesema nilichotaka kukisem. Ahsante sana.Unaweza ukasema labda ni kwasababu hawana elimu..lakini ukageuka na kukumbuka yanayoendelea sasa ya yule professor msomi na wale ma-Dr wa "..nihurumie mimi nimekosea..sina pakwenda mimi.."
Mwisho utagundua kwamba busara na hekima bado vinaendelea kuwa vitu vya msingi sana katika utu wa binaadam