Kiaje yani
ila dogo ananyota tu, ila sio kipaji....kuna vipaji balaa mfano sasa hivi kuna dogo mmoja anakuja kwa kasi sana huko nigeria anaitwa #Tecno , anajua kucheza kuliko diamond, anasauti kuliko diamond, anapiga pamba kuliko diamond, anamwonekano mzuri kuliko diamond.
so mlio karibu nae mwambieni asibweteke...nyimbo zake maarufu zilizompa hayo matuzo hazizidi 3.
kingine ali k naona aite press conference akiri hadharani kwamba diamond ni jembe....baada ya hapo na yy ataanza kushine.