Njia ya kwao hiyo πMbagala kina nchumali wameiteka.
Nyie ni wavuta dawa sio bange,ππMvuta bangi mwenzangu huyo.. namkubali bwana mdogo.
Yuko pamoja na sisi wavuta bangi wenzie.
Ewaaa, sisi wavuta dawa, huyo ni mwanetu wenyewe, kwanza huwa anatutambulisha kwa kikohozi cha mjani mjaniπ€£Nyie ni wavuta dawa sio bange,ππ
Usiniseme kama napenda kulaHivi kati ya mjomba nchumali na king kibakuli nani ana ngoma kali zaidi, nani muandishi mzuri zaidi?