Diamond, Vanessa Mdee nominated in MTV Africa Music Awards 2015

Atlantis

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2015
Posts
383
Reaction score
513
Latest news ni kwamba majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTV Africa Music Awards 2015 yametangazwa jana June 11.

Miongoni mwao ni watabe wa Bongo Diamond Platnumz na dada mwenye swagga za unyamwezini Vanessa Mdee. Tuzo hizo zitatolewa Durban hukoo Bondeni, yaani South Africa.



Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitatu ambavyo ni Best Male, Best Live Act, Best Collaboration while Vanessa Mdee akiwania BEST FEMALE.

Tuzo hizo zitatolewa July 18 jijini Durban Afrika Kusini;

BEST MALE
Diamond Platnumz(Tanzania), Wizkid (Nigeria), Davido (Nigeria), AKA (South Africa) na Sarkodie (Ghana)

BEST FEMALE
Vanessa Mdee (Tanzania), Busiswa (South Africa), Yemi Alade (Nigeria), Seyi Shay (NIgeria), Bucie (South Africa)

BEST LIVE ACT
Micasa, Big Nuz, Diamond Platnumz (Tanzania), Flavour na Toofan

BEST COLLABORATION
Diamond Platnumz ft Iyanya- BUM BUM (Tanzania/Nigeria)
Toofan ft Dj Arafat- Apero REMIX (Togo/Ivory Coast)
AKA ft Burna boy, Da L.E.S- All eyes on me (S.A/Nigeria)
Davido ft Uhuru, Dj Buckz - The sound (Nigeria,S.A)
 
hongera zao wabongoland wenzangu mtafika mbali mond na vanessa
 
Ha..haiwezekani! Mbona watani zetu Kenya siwaoni kabisa..Tanzania tumependelewa au?
 
Ha..haiwezekani! Mbona watani zetu Kenya siwaoni kabisa..Tanzania tumependelewa au?

Bongo fleva inabamba East Africa waliowahi fika Kigali Bujumbura Kampala Nairobi mpaka Juba ni mashahidi wa hili
 
hahaha mkuu umenichekesha yan kama umewasuta hivi, wengine wivu!!!

Big up AY
 
Wengine wanashukuru kwa kupigiwa kura za KTMA mapema siku 3/4 kabla ya siku yenyewe.

Napenda Kiba anavyojiamini, ila kazi zake sasa ni zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…