Diamond, Vanessa mdee, Shetta, Joh makini, Alikiba, Richi mavoko na AY


Mzee hizi taarifa iwapo ungeweza kuzibadili kuwa pesa hata wewe ungejenga nyumba sio mbili hata nane.
 
Wewe ndio una timu mimi nalipia muziki ninaosikiliza. Hayo mambo yenu mnaolipiwa viingilio kwenye fiesta au mnatafuta tag instagram.

samahani mkuu umemwelewa kweli mdau alichouliza? sio hizi team za hapa jf ni team nzima inayounda jahazi modern taarab kama nimemwelewa mdau
 
Nooma saana... inatakiwa wasanii wetu wajifunze kwake collable ni kitu cha muhimu saana inaongeza saana fan base na ni kiashiria tosha kwamba upo vizuri na utampaisha kwa collable hiyo....

Hapo bado hajakutana na wakina uhuru waingie studio tena...

Hatari sana Diamond anafan Base kubwa sana africa hivi sasa na hizi collable zitazidi kumuweka juu. Anajulikana West, South, East and Central africa kiujumla ni juhudi kubwa sana.
 
samahani mkuu umemwelewa kweli mdau alichouliza? sio hizi team za hapa jf ni team nzima inayounda jahazi modern taarab kama nimemwelewa mdau

Usiumize kichwa sana haya sio mambo ya msingi kuyaelewa.
 
Donald collaborate with Our own Diamond nw in SA.. huyu jamaa namkubali sana kuna nyimbo yke 1 inaitwa Over the moon anaimba RnB tamu sana.

Donald n hatari nyimbo zke kuna ulimtoa unaitwa denial n sasa ivi anao unaitwa don't et it burn ft buccie can't wait
 
Hatari sana Diamond anafan Base kubwa sana africa hivi sasa na hizi collable zitazidi kumuweka juu. Anajulikana West, South, East and Central africa kiujumla ni juhudi kubwa sana.

hahaha nilisahau aisee kunamzigo tena na fally ipupa ambayo ndio ilitakiwa kutoka sahivi badala ya nana.. from ""babutale"" afu salaam nilisikia amegusa suala la albamu mwaka huu akaunt yake ya twitter
 
Nooma saana... inatakiwa wasanii wetu wajifunze kwake collable ni kitu cha muhimu saana inaongeza saana fan base na ni kiashiria tosha kwamba upo vizuri na utampaisha kwa collable hiyo....

Hapo bado hajakutana na wakina uhuru waingie studio tena...

Hahahahah tatizo wafalme wanafanya kolabo na wadogo zao tu.

Itabidi waanzie hapo kwa kenyata kwanza maana huko naijeri na south Africa hawajulikani.

Wamfate juacali wa Kenya yeye ni mfalme mwenzao wa genge ya Kenya.
 
samahani mkuu umemwelewa kweli mdau alichouliza? sio hizi team za hapa jf ni team nzima inayounda jahazi modern taarab kama nimemwelewa mdau

Ahsante kwa kunisaidia, wengine mawazo ya ni bifu tu.
 
Milioni 60, Tale, Fela, SK, Iyobo, Rommy, madensa nane ukigawanya inakuwa kama sawa na mzigo anaokula mzee Yusuph jumapili pale travertine.
Rizki ni kugawana , Mungu anapokupa rizki sio kwa sababu una uspesho sana ila ana makusudi yake...Si unaona biashara zenu wabongo zinavyokufa, duka linaingiza milion 10 muuza duka unamlipa elfu 40 ata Mungu anakunyang'anya.

Hakuna anayezaliwa na roho mbaya ni kujiendekeza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…