Kwa upeo wangu., hili bifu la hawa watu wawili linakuzwa ili kumtafutia jina Ali Kiba ambaye alishapotea kwny ramani ya muziki.! naamini kwa wakati huu Diamond ni bora zaidi na hastahili kulinganishwa na Ali Kiba.!
Kwani Huyo Ali Kiba Ndo Nani? Anaishi Nchi Gani Na Anajishughulisha Na Nini? Huyo Mwingine Namfahamu Alikuja Jumapili Iliyopita Hapa Mkoani Kwetu RUVUMA.