Diamond vs chris brown kwa mtazamo wako bila kuangalia umaarufu nani handsome

hivi shiny c kweli uko serious unaulizwa hili swali?
 
Last edited by a moderator:
jaman ................................:faint::faint::faint::faint:
 
Domo la nyongeza hendisamu tandale nzima anakimbiza ndo mana juzi aliazima suruali ya joketi akavaa harusini
 
jaman ................................:faint::faint::faint::faint:

pole bana usi:faint:
kwa uelewa wangu mdogo ukishakuwa na mihela mingiiiiiii basi wewe ni handsome.
So mpaka hapa naniliii katolewa kwa knockout
 
pole bana usi:faint:
kwa uelewa wangu mdogo ukishakuwa na mihela mingiiiiiii basi wewe ni handsome.
So mpaka hapa naniliii katolewa kwa knockout

hahahaaa!! chezea pesa wewe!!

ngoja nizisake then nisafishe nyouta!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…