Diamond vs Harmonize: What goes around...

Mjinga wewe ,


Huyo Sallam Mimi nimekua nae mtaa Wa Forest morogoro (nimecheza nae chandimu mitaa ya forest hill , Osterbay ya morogoro ) wakati wewe unaishi Uswekeni Tandale au Magomeni .... Mbwa wewe...



Sasa turudi kwenye show ya harmonize ... Hiyo show ya Juba ilikuwa ni ya harmonize na ulikuwa ni mualiko kutoka kwa raisi Salva Kiir , sijui hata kama unamjua .. Utamjulia wapi umeishia darasa la saba B pale Maramba mawili shule ya msingi ..


Na kwa taarifa yako uwepo Wa harmonize ndio ulifanya hiyo show ifanyike kuanzia jion kutokana na umati kuwa Mkubwa wakitaka kumuona harmonize.. Watu Wa usalama wakataka show iwe jion ..



Mwisho Wa siku napoteza muda na mbwa ambae hajui lolote zaidi ya kubweka tu , hao wcb tunawajua in out sio kwa kuwaona IG Bali tunakutana nao kwenye some issues ...



Halafu wewe mpumbavu nimekupa assignment moja nenda pale clouds kaulize fiesta ya 2005 diamond hakupanda Kama underground yeye na sheta pale Viwanja vya posta, kijitonyama. Ukute enzi hizo ulikuwa huna hata nauli ya kutoka kwenue Uswekeni kwenda kijitonyama.. Shwain wewe.



Ndio maana nakuona mpuuzi sana unashangaa million 200 za uwekezaji za harmonize!!!../ nikikwambia vifaa na Bei zake alivyonunua harmonize kwenye kampuni ya Zoom Production chini ya Director Keny utabaki unatoa macho kama nyoka ....



Huna unalojua pumbavu wewe
 
Sasa turudi kwenye show ya harmonize ... Hiyo show ya Juba ilikuwa ni ya harmonize na ulikuwa ni mualiko kutoka kwa raisi Salva Kiir , sijui hata kama unamjua .. Utamjulia wapi umeishia darasa la saba B pale Maramba mawili shule ya msingi ..
We mbwa, umekazwa bure tu kwa kupigwa fix!! The Juba Monitor wakielezea hiyo show, hawa hapa:- Hiyo ni show yake ya kwanza, na hakukuwa na cha rais wala nini, bali ni ya uzinduzi wa hiyo lounge !

Baada ya hiyo show ambayo kulikiwa pia na akina Chameleon, akaenda tena South Sudan kwenye show ya uzinduzi wa "Airtel Money" ya South Sudan inayofahamika kama MGURUSH!!! Hiyo show ndiyo ya pili ndiyo ambayo ilijaa sana watu!! KWANINI SHOW ILIZAJA SANA? Sababu ni hii hapa:-





ILIKUWA NI SHOW YA BURE halafu eti unadanganya watu hapa kwamba ulikuwa ni mwaliko wa rais!!!

Kwahiyo narudia: Kadanganye wapumbavu wenzako!!! Hata hivyo siwezi kushangaa! Hivi wewe si ndo ulimuulizaga ONTARIO kuhusu mchongo wa kuuza mahindi kwa Mo-Dewji wewe?!! Yaani ulivyo mpumbavu, ukaingizwa King hata na simulizi za Ontario!!! Aidha juzi tu hapa unalilia wanaume wakupe mchongo wa kupata pesa ya kukuwezesha kulima ekari 3 za mahindi halafu leo hii unakuja na nyodo za kujifanya mtoto wa kishua uliyekulia uzunguni!! We pimbi kweli wewe!!

Kwanza nahisi najidhalilisha kubishana na mtu mwenye akili mbovu kama wewe, ambae unadanganyika kirahisi kuliko hata ma-house girl!!
 
Nazani timu ya Konde Gang itajifunza kupitia hizi kelele ili wawe vizuri
 
Ahaaaah unamuongelea ruge mnyonyajia na mzalilishaji wanawake eboooooh shut up.
 
Umejitahidi vizuri kueleza umetibua Uzi wako tu kwa kusema kiba alimsaidia mondi hapa ndo umeonesha mziki ujui na Wala hufatilii.
Ahaaaah ndo kachapia kiba amekosa hata mia ya kumlisha mke wake pamoja na wanawake wenzake wa king music ndo angeweza kumsaidia the king diamond?
 
Wasted Sperms
 
Hahahaha we mwana noma....unajua kumaliza ubishi
Kumbe show yenyewe ilikua ya bure
Sasa kwanini watu wasijae
 
Wewe kijana nae ni muchknower
 
Huyu kijana anachokiweza ni ku post zile image zao za kupakua fedha mtandaoni na kujitamba kwamba acc zao zimejaa madolari.
 
NASEMA KAMA HARMONIZE ATASIMAMIWA NA JEMBE NI JEMBE.

ATAPOTEAAA KWENYE RAMANI MAPEMA SANA...MAPEMA MNO!
 
Nilisikiliza interview harmonize ndiye alimuomba diamond aingize mistari baada ya kuwa ngumu kifanya na davido katika wakati huo
Kubaniwa some time ni blessings angefanya na davido sidhani iyo ngoma ingekuwa kubwa kiivyo
 
[emoji23][emoji23] hawatajiuliza,, ID zingine za mawingu hao juu,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…